Elimu ya Dini muarobaini wa mmomonyoko wa maadili na utovu wa nidhamu mashuleni na vyuoni

Elimu ya Dini muarobaini wa mmomonyoko wa maadili na utovu wa nidhamu mashuleni na vyuoni

Msumbeni2015

New Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
2
Reaction score
1
Kutokana na kuporomoka kwa MAADILI na utovu wa nidhamu ulio kithiri mashuleni,vyuoni na jamii kwa ujumla ni wazi sasa serikali inalazimika kuliweka Somo la ELIMU YA DINI mashuleni na vyuoni kuwa ni LAZIMA kama njia ya kupambana na CHANGAMOTO hizi

ELIMU YA DINI
hili ni Somo ambalo litakuwa linawajenga vijana kimaadili na kitabia kuanzia shule za AWALI mpaka VYUO vikuu,

CHANGAMOTO ZA VIJANA WA SASA

Vijana wa sasahivi wameendekeza mahusiano ya kimapenzi na ngono zembe,ulawiti,ukahaba.
Matumizi mabaya ya simu na mitandao ya kijamii
Matumizi ya dawa za kulevya,pombe,shisha,sigara na bangi.
Uvaaji,unyoaji,uzungumzaji usio na MAADILI ya kitanzania

CHANGAMOTO zote hizo ni NADRA kuzikuta kwa watoto au vijana walio kulia katika mazingira ya DINI,mfano halisi ni kwa vijana wanao soma katika shule za SEMINARI asilimia kubwa Kama sio yote wanakuwa na MAADILI na wanakuwa vijana wa kutegemewa katika TAIFA

Vijana wanaosoma katika shule za kawaida ni SHEEDAH yaani hawasikii wala hawaoni,hivyo nashauri yafuatayo yafanyike

Serikali iliweke Somo la ELIMU YA DINI KUWA NI LAZIMA Kama masomo mengine.

Serikali igarimie garama za kuwalipa walimu wa masomo ya ELIMU YA DINI katika shule na VYUO vyote vya serikali.

MWISHO

Somo hili la ELIMU YA DINI likiwekewa MKAZO linaweza kupunguza mmomonyoko huu mkubwa wa MAADILI kwa vijana na watoto wetu mashuleni na vyuoni na pia linaweza kuwa MBADALA wa VIBOKO mashuleni
 
Kutokana na kuporomoka kwa MAADILI na utovu wa nidhamu ulio kithiri mashuleni,vyuoni na jamii kwa ujumla ni wazi sasa serikali inalazimika kuliweka Somo la ELIMU YA DINI mashuleni na vyuoni kuwa ni LAZIMA kama njia ya kupambana na CHANGAMOTO hizi

ELIMU YA DINI
hili ni Somo ambalo litakuwa linawajenga vijana kimaadili na kitabia kuanzia shule za AWALI mpaka VYUO vikuu,

CHANGAMOTO ZA VIJANA WA SASA

Vijana wa sasahivi wameendekeza mahusiano ya kimapenzi na ngono zembe,ulawiti,ukahaba.
Matumizi mabaya ya simu na mitandao ya kijamii
Matumizi ya dawa za kulevya,pombe,shisha,sigara na bangi.
Uvaaji,unyoaji,uzungumzaji usio na MAADILI ya kitanzania

CHANGAMOTO zote hizo ni NADRA kuzikuta kwa watoto au vijana walio kulia katika mazingira ya DINI,mfano halisi ni kwa vijana wanao soma katika shule za SEMINARI asilimia kubwa Kama sio yote wanakuwa na MAADILI na wanakuwa vijana wa kutegemewa katika TAIFA

Vijana wanaosoma katika shule za kawaida ni SHEEDAH yaani hawasikii wala hawaoni,hivyo nashauri yafuatayo yafanyike

Serikali iliweke Somo la ELIMU YA DINI KUWA NI LAZIMA Kama masomo mengine.

Serikali igarimie garama za kuwalipa walimu wa masomo ya ELIMU YA DINI katika shule na VYUO vyote vya serikali.

MWISHO

Somo hili la ELIMU YA DINI likiwekewa MKAZO linaweza kupunguza mmomonyoko huu mkubwa wa MAADILI kwa vijana na watoto wetu mashuleni na vyuoni na pia linaweza kuwa MBADALA wa VIBOKO mashuleni
Ungeyasikia ya Unguja ungefuta uzi wako.wapo waalimu wa dini pendwa wameharibu watoto. Huko ni nadra sana kukuta bikra ya tackle
 
Kutokana na kuporomoka kwa MAADILI na utovu wa nidhamu ulio kithiri mashuleni,vyuoni na jamii kwa ujumla ni wazi sasa serikali inalazimika kuliweka Somo la ELIMU YA DINI mashuleni na vyuoni kuwa ni LAZIMA kama njia ya kupambana na CHANGAMOTO hizi

ELIMU YA DINI
hili ni Somo ambalo litakuwa linawajenga vijana kimaadili na kitabia kuanzia shule za AWALI mpaka VYUO vikuu,

CHANGAMOTO ZA VIJANA WA SASA

Vijana wa sasahivi wameendekeza mahusiano ya kimapenzi na ngono zembe,ulawiti,ukahaba.
Matumizi mabaya ya simu na mitandao ya kijamii
Matumizi ya dawa za kulevya,pombe,shisha,sigara na bangi.
Uvaaji,unyoaji,uzungumzaji usio na MAADILI ya kitanzania

CHANGAMOTO zote hizo ni NADRA kuzikuta kwa watoto au vijana walio kulia katika mazingira ya DINI,mfano halisi ni kwa vijana wanao soma katika shule za SEMINARI asilimia kubwa Kama sio yote wanakuwa na MAADILI na wanakuwa vijana wa kutegemewa katika TAIFA

Vijana wanaosoma katika shule za kawaida ni SHEEDAH yaani hawasikii wala hawaoni,hivyo nashauri yafuatayo yafanyike

Serikali iliweke Somo la ELIMU YA DINI KUWA NI LAZIMA Kama masomo mengine.

Serikali igarimie garama za kuwalipa walimu wa masomo ya ELIMU YA DINI katika shule na VYUO vyote vya serikali.

MWISHO

Somo hili la ELIMU YA DINI likiwekewa MKAZO linaweza kupunguza mmomonyoko huu mkubwa wa MAADILI kwa vijana na watoto wetu mashuleni na vyuoni na pia linaweza kuwa MBADALA wa VIBOKO mashuleni
Unajidanganya. Kuwa muumini wa dini si kuhitimu uadilifu. Vatican maaskofu wana tuhuma, nyumba za makasisi na watawa ni madhambi tupu. Taleban na mujahidin, mashariki la kati misikiti kila pembe lakini jamii amani hakuna. Vijana leo wananyimwa fursa za kufanya kazi, muda wanautumia vibaya. Serikali na vyombo vyake hawana habari kuandaa mipango mizuri kuitumia nguvu kazi ya vijana. Hakuna mtu anazaliwa mharifu 100%, serikali imeshindwa kusimamia maliasili kuendeleza taifa. Miaka 60 tangu tupate uhuru watoto wanasomea chini ya miti na kukaa chini na wananchi mbumbumbu tunaitikia serikali iachwe ilete maendeleo kwanza, katiba si kipaumbele.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na kuporomoka kwa MAADILI na utovu wa nidhamu ulio kithiri mashuleni,vyuoni na jamii kwa ujumla ni wazi sasa serikali inalazimika kuliweka Somo la ELIMU YA DINI mashuleni na vyuoni kuwa ni LAZIMA kama njia ya kupambana na CHANGAMOTO hizi
DINI
Sio kweli.

Dini hakiondoi maadili mabovu bali inayaficha tu.

Maadili mazuri hayatokani na dini bali yanatokana na kujitambua yaani self awareness.

Mtu kama hajitambui hata ummezeshe vitabu vyote vya dini kamwe hatokuwa na maadili mema bali ataficha yale mabovu na kupretend mazuri pekee na hutomjua.

Sasa ni bora tatizo lionekane ili ulitatue kuliko usilione lakini linaendele kukua hilo ni tatizo kubwa zaidi.

Sasa badala ya kuwekeza pesa kwenye dini kitu ambacho siyo cha kutegemea kwa asilimia 100%.

Solution ni mara 1000 kuwekeza kwenye saikolojia ya binadamu na kujitambua kwa mtu binafsi ambapo wataitambulisha kama somo maalum na haitafundishwa na walimu wa kawaida bali experts na professionals wa maswala hayo.

Maadili mabovu yote husababiahwa na kutokujitambua.
Mtu akijitambua basi na maadili mabovu hupotea.
 
Back
Top Bottom