ELIMU YA Mh. NYAMBALI

ELIMU YA Mh. NYAMBALI

Kiukweli jamaa yuko mtupu kichwani hata hiyo shahada ya kwanza ya ualimu aloipata hajaweza kuitendea haki kwani speech zake hata mtoto aloishia darasa la tatu nadhani anamshinda. Nakumbuka kuna siku alikuja pale Udsm kudeliver speech kama guest speaker kila mtu alishangaa coz jamaa hawezi kujenga wala kudevelop hoja. Alafu anapenda kujisifu sana.
Guest Speaker? Duh! Nadhan siku hiyo mlijutia muda wenu mliopoteza kumsikiliza!
 
Jaman tusishangae kuja kuona "BIBLE ZA NYAMBARI" maana jamaa kwa kufupsha mambo utakuta Bible ina ukubwa kama daftari za shilingi 100
hahahahaaa! Mkuu umeua, i wish hii comment yako angeisoma mwenyewe!
 
inakuaje awe na degree ya kiswahili halafu aandike vitabu vya biology, chemia na physcs? Mimi nazani elimu yetu inapo elekea sipo, tunatengeneza vibarua wa wazungu. Nasikia huko tarime ndo kagawa vitabu vyake shule zote za kata wilayani tarime na hata matokeo ya mwaka huu tarime ni moja ya wilaya zilizo toa o nyingi sana sababu ya vitabu vya huyu jamaa

huyu jamaa hamna asicho weza.


jamaa vitabu vyake viko safi kwa sababu haandiki yeye, ni watu wenye uwezo huo ndio wanafanya hivyo anawalipa mipesa...kwa upande wa vitabu viko kamili ila hata yeye ukimwambia ajibu kilichoandkwa utacheka.
 
Huyu jamaa nilisoma naye Mara sec school alikuwa rafiki yangu wa karibu sana ingawa baada ya kumaliza o level yeye alienda shule nyingine na mimi kwenda shule nyingine lakini tuliendelea kuwasiliana na kuwa karibu. O level halikuwa hana uwezo kabisa alichukua masomo ya Art. Lakini alikuwa mwizi mkubwa sana wa mitihani mpaka alituletea matatizo makubwa sana kipindi hicho kwa ajili ya wizi( waliosoma mara sec school 1992-1995 watakumbuka), baada ya hapo alienda Mkwawa aliendeleza ishu yake ya wizi wa mitihani, UDSM nasikia aliendeleza ishu ya kuiba mitihani. UDSM alikuwa anasoma kiswahili.
sitetei, ila kwa kawaida watu uwa tunapenda zaid kuangalia mabaya ya m2 ili ama kumchafua ama vinginevyo hasa mhusika anapokua hai. Logically mtu hawez kupita level zote hizo za elimu kwa kuiba mtihani. Mimi nasema si kweli, labda ninyi.
 
Nakumbuka mwaka 2008 wakat niko 4m 6 pale mara sec,hilo lijamaa lilikuja pale school,yan lilikua lnaongea pumba 2,hakuna cha maana lilichoongea zaidi ya ku2haribia ratba za vipindi vye2 2.
 
Mbali na hayo namsifia kidoooogo...

Mke wake anajua kutafuta hela....Anamiliki Migahawa pale Bandarini na zaidi ana Restaurant kadhaa,Tenda za kupika kwenye hafla mbalimbali... nk.
Sijui kwanini alimruhusu huyu KIAZI aingie kwenye siasa haswa Ubunge???
Ananikumbusha Stanley Kevella Yono... yule ndi KIAZI tena KITAMU... Wana-Njombe hawakukosea kumpiga chini...
 
Ngoja tupunguze posho zisizo na tija bungeni,watu wataacha kukimbilia bungeni kama sehemu ya neemaJamani sijafanikiwakumwona akiongea,ninachojua kuna vitabu vingi sana vyenye chapa yake nyambari nyangwine publishers
Plawala usiombe kumsikiliza huyu bwana atakuharibia siku yako kabisa, jana mimi kaniharibia siku baada ya kumsikiliza akichangia hoja bungeni, jamaa ni mtupu kabisa
 
kama mwizi huko bungeni kaenda kufanya nini as huku ndiko sheria zote hutungwa zikiwepo za kuwashughulikia wezi?
 
Kumbe huyu Nyambari ni debe tupu vile, Tarime mmeangushwa sana, fanyani kweli 2015. Acheni kubeba gunia la misimari, inawachoma hiyo.
 
Teh teh...... alafu mi huwa najiuliza,hivi kwa nini sisi Watz tuliowengi tunapenda kujadili maisha ya watu wengine na potentialities zao alafu tunasahau kuyatizama yaliyo ya kwetu binafsi?Mi sioni haja ya kujadili elimu ya huyu jamaa maana hata nyie mnaojiita ni watz mliokwenda vyuo mkapata elimu,hizo mnazotamba nazo bado kwangu mimi labda pamoja na watz wengine hawaoni usomi wenu huo,make Tz hii hapa tulipo sidhani kama tunastahili kuwepo kwa mujibu wa critics ninazoziona humu jukwaani za watu kujiona mmesoma sana wakati taifa lenyewe linakwenda ki-halijojo.
Sasa nyinyi wenye chochote mnaonaje mkaanza kuonesha ufanisi wa yale yatokanayo na elimu zenu ili Tz isonge mbele maana haya ya elimu ya Nyangwine hayatusaidii lolote ebu tupunguzeni unafiki hapa.
 
Nyanguini si msomi yeye ni Entrepreneur ,be it in business or politics,anajua kuhonga kama ilivyo wafanyabiashara wengi nchini, na kwa njia hiyo hiyo amweza kuhonga na kuingia bungeni,
Cha msingi ni tuacha kumuandama,tuanza kuwaelimisha wananchi wa Tarime next time wasimpitishe ndani ya CCM. kwani ukipitishwa na ccm nguvu ya chama ndiyo inatumika kukupa ushindi
 
Nyambari Mariba Nyangwine amehitimu Kidato cha Nne Mara Secondari mwaka 1995, baada ya kuiba mtihani wa kidato cha NNE alichaguliwa kujiunga na Mkwawa High school (HGK/HKL - sina uhakika) baada ya Mkwawa High school alijiunga na University of Dar es salaam akahitimu mwaka 2003 akarudi MA KISWAHILI (Hakuhitimu MA yake hadi sasa).

Anazo sifa za UWIZI (aliwahi kuiba mitihani Mara sekondari, kuiba kazi za watu akatoa vitabu kuwa ni vyake, uwizi wa mitihani chuo Kikuu nk); aliwahi kuiba maharagwe Mara sekondari tukamkamata usiku akivusha kwenda kuyauza kwa majirani wanaokaa na shule (tulikuwa tunawaita "Walocal").

Generally, Nyangwine kwetu sisi tuliyekaa naye darasa mmoja HAFAI kuwa KIONGOZI lakini kwakuwa yuko CCM, basi wao ni ZOAZOA hata walioooza. Mengine sintayasema ya Mhe. Nyangwine.

Thank you all.
 
Lakini uwakilishi bungeni unahitaji uwezo wa kujenga hoja na kuitetea. kAMA SIO HIVYO, utawezaje kuibana serikali? Au unawezaje kulishawishi bunge/serikali litekeleze plan yake ya maendeleo. Hii ni sifa kuu miongoni mwa sifa ambazo mbunge anatakiwa kuwa nazo.
vipi ana deliver the goods?hili ndiyo swali muhimu,manake kujua/kutokujua kuzungumza Kiswahili sanifu siyo inshu.Anaweza asiwe muongeaji mzuri jukwaani lakini akawa mchapakazi/analeta maendeleo jimboni.Tuache ujinga na kudhani wanaojua kujenga hoja vizuri majukwaani ndiyo vichwa.Tuangalie vitendo/uchapakazi,siyo porojo za majukwaani.
 
Back
Top Bottom