G Ghetto Diva Member Joined Nov 30, 2011 Posts 7 Reaction score 2 Dec 7, 2011 #1 Ubure Wa elimu ya msingi uko wapi Kama michango ni lazima., ni wazazi wangapi ambao hawawezi kulipa michango Hiyo (elfu 20-40) zikitofautiana shule mbalimbali..? Kila mtoto Ana haki ya elimu, je itaitwaje haki wakati inanunuliwa...?
Ubure Wa elimu ya msingi uko wapi Kama michango ni lazima., ni wazazi wangapi ambao hawawezi kulipa michango Hiyo (elfu 20-40) zikitofautiana shule mbalimbali..? Kila mtoto Ana haki ya elimu, je itaitwaje haki wakati inanunuliwa...?