Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

Mzumbe kwa sasa nio chaka la waliofoji kwani kimsingi mzumbe wanafanya biashara weka hela mezani chukua utakacho haiwezekani chuo kama mzumbe kila hoja ya masters feki hapo Mzumbe ebu jisahihisheni history itawahukumu nyie
 
Chama, why do you speculate? why can't you leave the task to Nape himself?

It is what it is! I am not here to defend him (Nape) or speculate anything; we all know what qualifications needed in order to sit for form 6 exams so all these ---- against him are just bullshit; he got his masters what do you have?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Jitihada zipi hujaeleza, na hii inatokana na kujibu usichokijua. Umwache Nape Nnauye aje mwenyewe aweke bandiko hapa kama John Mnyika alivyokuja akiwa Verified na kujibu. Wewe unaleta projo tu.
John Mnyika alikuwa natafuta sympath kwa watu wasiosoma hakukuwa na jibu lolote la kunishtua mimi; yeye ni form 6 tu hana cha zaidi

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Wadau mtwambie india acharya university alienda kusoma nini maana najua alikuwa anafanya shughuli za kichama kule nape tuonyeshe vyeti hapa ...
 
Mkuu kwenye red hapo pana husika sana,alafu kuna k.i.m.a mmoja anajaribu kutetea ujinga hapa.
kitu kinachonisunbua sana, hivi ni mpaka lini mtu anasimama anaongea upuuzi ambao matokeo yake watu wana chinjana damu inamwagika lakini hakuna hatua zozoet zinazo chukuliwa, sana sanawatu wanaishia kuandika mitandaoni na magezetini huu ni utani usiokuwa na mipaka, zinazopotea ni roho za watu, lazima nchi iwe ina heshima siyo mtu ana kurupuka unaropoka tu kama juha ili tu asifiwe na mwenyekiti, apewe cheo, wakati nchi inateketea, ROHO ZA WANYONGE ZINALIA SANA...hii ni laana kubwa,
 
It is what it is! I am not here to defend him (Nape) or speculate anything; we all know what qualifications needed in order to sit for form 6 exams so all these ---- against him are just bullshit; he got his masters what do you have?

Chama
Gongo la mboto DSM
Chama, i am not a public figure, so don't trouble yourself to know my academic achievement, however, there are people who appreciate my knowledge and service the way i appreciate Mnyika's contribution to our nation.
 
naulizaia ule mdahalo wa Nape hapa jamvini kama ulifanyika .
 
Mnyika amefanya nini kwa maslahi ya taifa hili? Mnyika hakuchaguliwa Ubunge na watu Kisarawe hivyo wa Ubungo ndio wanaojua ufanisi wa Mnyika sisi wengine hatuujui

Chama
Gongo la mboto DSM

unatujazia saver na mapumba yako,wewe na huyo boss wako magumashi wote ni zero brain
 
Elimu ya kuunga na super glue kuna siku itakatika na kila kitu kitaishia hapo hapo.Kama kweli nAPE ana elimu aache kupiga debe,mara kujivua gamba,mara vile wenye elimu wanafahamika kwa yale wanayoyafanya na si kujigamba.Wenye vyeti vya kununua ndio wapigaji wa kelele.MASKINI AKIPATA ------ HULIA MBWATA.
 
John Mnyika ana ONE Nape Nnauye ana Zero...Nape ni form four failure.
Umeazimishwa akili na nani? Form four failure af uwe na Masters? Unataka kuniambia toka A'level, degree hadi Masters kafikafikaje huko?
 
Chama, i am not a public figure, so don't trouble yourself to know my academic achievement, however, there are people who appreciate my knowledge and service the way i appreciate Mnyika's contribution to our nation.

Well that is your opinion! The same way you feel about John Mnyika I feel the same; Nape Nnauye has made positives contributions towards this nation; and instead of wasting time questioning his achievements I think it would be better for nayer sayers to learn something positives out of him; between the two; there are a lot of things to be learned.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
What does wikipedia says on education? It says education in its general sense is a form of learning in which knowledge, skills, and habits of a group of people are transferred from one generation to the next through teaching, training, research, or simply through autodidacticism (learning on your own). Generally, it occurs through any experience that has a formative effect on the way one thinks, feels, or acts.

Out of the above definition, it is easy now to compare who is educated between Mnyika and Nape. Look objectively at what Mnyika does in the Parliament season and to his Ubungo constituency and then look at what Nape does on his day to day activities.
 
1. Shule ya msingi, John Mnyika alikuwa mwanafunzi wa kwanza kwa mkoa wa darisalama. Akachaguliwa kwenda Ilboru lakini akaamua kwenda seminari. (Naachana na hili kwa kuwa ni swala la kiimani)

2. Form 4 akapata A masomo tisa. Katika mwaka ambao matokeo yalikuwa na mushkeli kwa uvujaji wa mitihani. Angeweza kwenda shule yoyote na mchepuo wowote. Akaamua kwenda Tambaza.

3. Form 6 akapata matokeo mazuri tuu (ambayo hayakuwekwa wazi kama matokeo ya form 4)

4. University akaamua kusoma evening classes. (Hakumaliza kwa sababu alizozitaja hapo juu)

Kwa wenye busara, mlolongo wa elimu wa huyu bwana unanuka samaki aliyechina. Mimi binafsi nimesoma Tanga school, wakati wa headmaster Tetti. Wakati sisi tuko O'level pale Tanga school alikuja mwarabu mmoja kujiunga form 5 (PCM) tulikuwa tunamwita "yarabi salama". Yarabi salama yeye wakati akiwa form 5 PCM alikuwa haelewi kwa nini namba ikitoka upande mmoja wa equation na kuvuka alama ya sawasawa na kuhamia upande mwingine mwingine, basi inabidi alama yake ibadilike, kama hasi itakuwa chanya na chanya huwa hasi. Form 5 PCM huyo. Na bwana yarabi salama alikuwa amepata alama A katika hesabu O level. Baadaye ikagundulika kwamba wakati wenzake wanafanya mitihani, yeye alikuwa anazaa mitihani.

Sijui kama msamiati wa kuzaa bado unatumika siku hizi, lakini kuzaa maana yake ni kwamba kuna watu wana networks na mitihani inapotoka na wanapoingia kwenye chumba cha mtihani, hawaji kufanya mtihani ispokuwa wanakuja na "booklet" zao ambazo maswali yanakuwa tayari yameshafanywa. Sasa wakati wenzao wanafanya mtihani wao wanaandika namba yao ya mtihani tuu kisha wanazaa.

a) Sasa, najiuliza. Mnyika amesema kwamba alikuwa wa kwanza mkoa wa darisalama. (Sibishi, lakina Sijui amejuaje)
b) amepata A tisa form IV; lakini hakusema amepata A ngapi form VI. Jee inawezekana ni kwa sababu matokeo yake ya form 6 hayashabihiani na yale ya form 4?
c) A tisa, lakini hakwenda Ilboru. Kwanini mwanafunzi hodari asiwe na hamu na shauku ya kusoma na wanafunzi hodari wengine? Jee inawezekana bwana Mnyika alikuwa anaogopa "to get found out?"
d) Baada ya kupata matokeo mazuri form 6; kwanini asome jioni? Jee alikuwa anaogopa kusoma na wanafunzi hodari?
e) Mpaka leo bado hana degree. [anisamehe kama nimekosea katika hili]. Ni kweli mwanafunzi mwenye uwezo wake wa kitaaluma atakubali kuishia njiani kwa namna aliyoishia yeye?

Sasa kila nikimtafiti huyu bwana Mnyika, samahani, lakini neno kuzaa linapiga kengere zote akilini mwangu. Nadhani huyu bwana ni miongoni mwa wale wenye bahati nzuri ambao huweza kuipata mitihani kabla ya siku ya mtihani.
 
Well that is your opinion! The same way you feel about John Mnyika I feel the same; Nape Nnauye has made positives contributions towards this nation; and instead of wasting time questioning his achievements I think it would be better for nayer sayers to learn something positives out of him; between the two; there are a lot of things to be learned.

Chama
Gongo la mboto DSM
You are right! people can learn a lot from Nape including rude language and inconsistance. Furthermore, people can learn from Nape that, it is possible to attain academic achievement by simply insulting CHADEMA!
 
Ni kweli mimi alikuwa room mate wangu,baada ya kumaliza form 4 alipotea kabisa na akaja kuibuka katika siasa na kitu kingine ambacho ni suprise Nape hakuwa na hobby ya uongozi ndio maana labda alikuwa akiitwa mlokole,alikuwa mpole na asiye kuwa na dalili zozote za kutaka kuwa kiongozi kama pia na wewe ulikuwa pale nsumba unakumbua viongozi walio kuwa kipindi icho wakati Mr KIBONA akiwa mkuu wa shule walikuwa wakali kweli kweli kwa-issue ya speak english lakini walitusa idia sana.
 
Back
Top Bottom