Elimu ya Nape Nnauye

Kumbe Nape ni Mlokole safi.

Cc. Matola,
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Mnyika ana one ya point 9, Nepi 4 ya point 29!! Huyu ni failure kabisa!! Ndo maana mpaka leo anaropoka ropoka tu!! Mimi huwa namwita VUVUZELA!!
Hapa mkuu,Mnyika ana one ya pointi 7 ila ana A tisa!
 
na katika kumjaji mtu aliyeelimika ama mwenye akili sisi hatuangalii cheti maana kuna vya kupewa tuna angalia matendo ama fikra, tafakuri yake juu ya mambo mbalimbali. unaweza kuwa na cheti lakini hakuna unachojua yani bogas per se
 

Mbona wewe huelezi form six ulipata ngapi?au nawe ulizaa?watu wengine mnawatafutia watu ban za makusudi,yaani Mnyika kwa maelezo yote hapo hujamwelewa unamlinganisha na mtu ambaye hatuwezi kupata uthibitisho?Mnyika angekuwa kilaza angezaje kushawishi wasomi wa mlimani wampe kura?angewezaje kuwatingisha maprofesa kama Magembe.Bila shaka wewe ndiye Yarabi Salama
 
Suala sio nani ana nini.Suala ni kwanini umtupie mwingine matongo wakati wewe mwenyewe elimu yako ni yakuunga unga.
Si bora ingekuwa ya kuunga hizo ni magumashi tu ni nyingi tu CCM,acha hiyo masters wengine ni Madokta,maprofesa,n.k Kwenye chama chao unapokewa tu hata bila kutathimini umepatapateje,wengi ni mawaziri na manaibu waziri si ndio maana tumefika hapa tulipo?una watu wenye vyeti safi kumbe cheti hakilingani na uwelewa wa huyo mtu matokeo yake ndio haya maporomoko kila sekta au umemsahau Msemakweli????aliwatungia kitabu na akawataja kwa majina wakamtishia kumfikisha mahakamani,akawaambia nendeni tutakutana hukohuko wakaufiata hadi leo.
 
Usisahau degree kuna za C.H. U .P I kwa baadhi ya kina dada ambao uwezo wao wa kielimu ni mdogo kama huyu mtu aliyepata Four ya 29. Sasa sijui za mwenzetu ni za nini? Pia mwambie aje atuambie jinsi alivyopta sifa za kuingia kidato cha tano.

Jibu hili pia linamfaa dada jenifa mtodi hapo juu aliyesoma Tanga Tech shule ya wavulana
 
Div 4 point 29, imezalisha masters, je div 0 poimt 34 si itazalisha bachelor ya umbeya! Haa nape bwana!
 

Mkuu Nswima hapo kwenye Red huyo mzee usimsingizie kabisaa!!! Yeye sasa hivi ni Waziri wa Maji ndo maana Mnyika alimtoa jasho bungeni mpaka Bi. Kiroboto na mwenzake ikabidi wamwokoe! Waziri wa Kilimo na Chakula sasa hivi ni Eng. Christopher Ciza (Chizza).

Kwa ufupi Mnyika yuko juu sana wala huwezi kumlinganisha na vilaza kama akina NEPI!!
 
Enzi hizo Nsumba ilikua inafaulisha sana. Ninawasiwasi kwa matokeo haya alikuwa wa mwisho darasani.
 

Hapo kwenye RED unataka kuharibu utamu wa hoja yako...Nadhani tu substitute hayo maneno na haya yafuatayo...Boban wa Simba. Nadhani hata Crashwise ataniunga mkono!!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu umesahau mara hii maneno ya Mch Msigwa mbunge wa Iringa kuwa Tanzania tuna tatizo la kuruhusu Akili ndogo kuongoza akili kubwa? Haya ndiyo aliyokuwa anamaanisha Msigwa.
Ona sasa matokeo yake,Hivi Nape anaweza kusikia uchungu wa anguko la Elimu TZ kwa zaidi ya 60% kufeli wakati naye yupo kweye kundi hilo tena yeye alisoma katika mazingira mazuri kuliko hawa wa sasa? Hawezi tena unaweza kuta kafurahi akisema heri tuwe wengi. "Akili ndogo kuongoza akili kubwa"
 
Na ndio maana CDM walimkataa Nape awe mgombea wa jimbo la ubungo jimbo lingeenda CCM huyo hana uwezo wa kupanga hoja kama Mnyika ni mburura tu,akiweza tumpambanishe kwenye mdaharo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…