Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Odemba naye aliyataka, tangu lini CCM wakakubali kufanya mdahalo na Chadema wakiwepo mdahaloni?Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
Sharing experience accommodates different levels of learningsNingeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
Hata mimi nimehisi mjadala ule ungekosa heshima kabisa.Hakika...
Exquisite post [emoji2956]
Levo ya mtunduizi ,akili nyingi balozi Dr.Nchimbi si kusukumiziwa katika mdahalo mwepesi usiosimamiwa na WABOBEZI WA KITAALUMA.....
#Nchi Isalama chini ya Chifu Hangaya.
....hakika.Hata mimi nimehisi mjadala ule ungekosa heshima kabisa.
Nilivyoona comment za wahudhuriaji wanavyosema ni wazi kabisa walijipanga kwa ajili ya kumuattack mtu fulani.
[emoji2956]Hata mimi nimehisi mjadala ule ungekosa heshima kabisa.
Nilivyoona comment za wahudhuriaji wanavyosema ni wazi kabisa walijipanga kwa ajili ya kumuattack mtu fulani.
Na wakati wa Kwenda kwenye kuomba Kura inatakiwa awaombe PHD holders wenzake wakipigie chama chake.Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Tahila wewe usomi wa mtu hadhibitishwi na uwezo wa kuongea na wasomi wezake. Msomi wa kweli ni yule anaye weza kufafanuwa mambo magumu na makubwa kwa mototo wa miaka Sita akaelewa vizuri. Kuna msemo wa kizungu usemao hivi: if you can't explain it to six years old, you don't know it at all. Sasa ukiona PHD holders anaye kimbia mdahalo kwa kisinginzio cha kusema sio level yake jua hiyo PHD yake ni ya mashaka.Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
mtu kama Mnyika hata degree hana akajadili nini sasa Chadema yoote management yenu vilaza watupu Lisu naye amewakimbiaTahila wewe usomi wa mtu hadhibitishwi na uwezo wa kuongea na wasomi wezake. Msomi wa kweli ni yule anaye weza kufafanuwa mambo magumu na makubwa kwa mototo wa miaka Sita akaelewa vizuri. Kuna msemo wa kizungu usemao hivi: if you can't explain it to six years old, you don't know it at all. Sasa ukiona PHD holders anaye kimbia mdahalo kwa kisinginzio cha kusema sio level yake jua hiyo PHD yake ni ya mashaka.
watu mnamchukulia poa Sana dr nchimbi huyu Edwin odemba naye ni kilaza tu aendeshe mjadala na wabobezi kama nchimbiTahila wewe usomi wa mtu hadhibitishwi na uwezo wa kuongea na wasomi wezake. Msomi wa kweli ni yule anaye weza kufafanuwa mambo magumu na makubwa kwa mototo wa miaka Sita akaelewa vizuri. Kuna msemo wa kizungu usemao hivi: if you can't explain it to six years old, you don't know it at all. Sasa ukiona PHD holders anaye kimbia mdahalo kwa kisinginzio cha kusema sio level yake jua hiyo PHD yake ni ya mashaka.
actually,Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
Sijui kiwango chako cha elimu hata kama ni ya kukariri lkn ulichokiandika hapa ni Upuuzi mtupu.mtu kama Mnyika hata degree hana akajadili nini sasa Chadema yoote management yenu vilaza watupu Lisu naye amewakimbia
Kwani yeye anaongoza maprof?Ningeshangaa Senior lecture katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama bora kabisa Afrika kilicho na katibu mkuu msomi wa kiwango cha PhD akubali kufanya mdahalo na vijana wasio na elimu wenye vyama vya kabatini wenye maneno ya umbea na ya kutunga
hongera Sana Dr Nchimbi kwa kuwagomea hawa wanafunzi wako maana ungejadili nini na hao wanafunzi wako wa chekechea
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!
katibu mkuu wa chama cha Mapinduzi chama
Jamaa hana akili zinazofanya kazi vizuri. PhD aliyoipata "Open University" uzeeni?Ina maana hata nyumbani kwake au mtaani anaongea na madokta michongo wenzake tu mambo ya usafi wa barabara zao?Na wakati wa Kwenda kwenye kuomba Kura inatakiwa awaombe PHD holders wenzake wakipigie chama chake.
Kifupi umeandika UPUUZI,