Elimu ya sekondari na msingi ifutwe, madarasa yageuzwe vyuo vya ufundi

Elimu ya sekondari na msingi ifutwe, madarasa yageuzwe vyuo vya ufundi

gim

Senior Member
Joined
Jan 28, 2022
Posts
131
Reaction score
241
Habarini za wakati huu wana jamvi,

Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi wa bulchelor (according to yeye) anaomba kazi.

Nikawa najiuliza kwanini serikali isiamue tu kufuta elimu ya sekondari na msingi ikiwa mtu mpaka anafika ngazi ya juu ya elimu hajajua namna ya kuandika neno BACHELOR.

Bachelor.jpg
 
Habarini za wakati huu wana jamvi,

Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi wa bulchelor (according to yeye) anaomba kazi.

Nikawa najiuliza kwanini serikali isiamue tu kufuta elimu ya sekondari na msingi ikiwa mtu mpaka anafika ngazi ya juu ya elimu hajajua namna ya kuandika neno BACHELOR.

View attachment 2106313
Yawezakuwa Yuko Vizuri Kwenye Practical, Ayo Mambo Ya Kuandika Andika Hajui.
 
😂😂😂😀nmecheka mwenyew, lakin kwakwel elimu yetu inahitaji marekebisho makubwa
 
  • Thanks
Reactions: gim
Habarini za wakati huu wana jamvi,

Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi wa bulchelor (according to yeye) anaomba kazi.

Nikawa najiuliza kwanini serikali isiamue tu kufuta elimu ya sekondari na msingi ikiwa mtu mpaka anafika ngazi ya juu ya elimu hajajua namna ya kuandika neno BACHELOR.

View attachment 2106313
Haiwezi kufutwa kwa kua baadhi ya ufundi Kama umeme waviwandani na umeme wa majumbani unahitaji uwe na background ya baadhi ya masomo ya secondary hivyo kufuta wakati secondary na vyuo vya ufundi vinategemeana. Na sio Lazima wote tuwe mafundi Lazima tuwe na kada tofauti tofauti
 
Haiwezi kufutwa kwa kua baadhi ya ufundi Kama umeme waviwandani na umeme wa majumbani unahitaji uwe na background ya baadhi ya masomo ya secondary hivyo kufuta wakati secondary na vyuo vya ufundi vinategemeana
Aliegundua umeme mwenyewe hakupitia huo upuuzi wa secondary school, sembuse Nyie mafundi michundo

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: gim
Habarini za wakati huu wana jamvi,

Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi wa bulchelor (according to yeye) anaomba kazi.

Nikawa najiuliza kwanini serikali isiamue tu kufuta elimu ya sekondari na msingi ikiwa mtu mpaka anafika ngazi ya juu ya elimu hajajua namna ya kuandika neno BACHELOR.

View attachment 2106313
Ana bulchelar ya maabara au sio, basi sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: gim
Habarini za wakati huu wana jamvi,

Natumaini ni wazima na mnazidi kusongesha gurudumu la maisha katika nchi ya mama. Sasa katika pita pita zangu kwenye social media nimeokota hili la mwanafunzi wa bulchelor (according to yeye) anaomba kazi.

Nikawa najiuliza kwanini serikali isiamue tu kufuta elimu ya sekondari na msingi ikiwa mtu mpaka anafika ngazi ya juu ya elimu hajajua namna ya kuandika neno BACHELOR.

View attachment 2106313
😅😅😅🤣😅🤣🤣
 
Yawezakuwa Yuko Vizuri Kwenye Practical, Ayo Mambo Ya Kuandika Andika Hajui.
Ata kama lakini sio kwa elimu aliyonayo. Kama ni kweli anayo hiyo ( bulchelar) [emoji16][emoji16][emoji16] basi nahamia burundi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]nmecheka mwenyew, lakin kwakwel elimu yetu inahitaji marekebisho makubwa
Sio marekebisho tu ikiwezekana na mitaala iliyopo ifutwe tutumie ya veta
 
Haiwezi kufutwa kwa kua baadhi ya ufundi Kama umeme waviwandani na umeme wa majumbani unahitaji uwe na background ya baadhi ya masomo ya secondary hivyo kufuta wakati secondary na vyuo vya ufundi vinategemeana. Na sio Lazima wote tuwe mafundi Lazima tuwe na kada tofauti tofauti
Hilo nakataa asilimia zote, kwa sababu masomo husika tunamezeshwa tu laws na principles lakini kuzitumia hatuwezi tukubali tu kwamba elimu ya Tz ni pasua kichwa, wewe kama una kichwa cha kumeza notes waweza kuwa hata tanzania one
 
Hapana. Hakuna taifa hata moja linalofanya hivyo duniani.

Elimu ya ufundi stadi inaweza kuwa integrated vizuri hasa kuanzia kidato cha sita na mtu asiweze kuhitimu bila kuwa na ujuzi maalum.

Kuna model moja katika jimbo moja kule Marekani inafanyiwa utafiti bado lakini imeanza kutoa matunda mazuri sana. Kwa vile nami ni mshiriki mtendaji katika model hii nitakuja kuiandikia thread na hata kuiandika vizuri na kuiwakilisha kwa wahusika. Sema tu sijui kama huwa wanasikiliza mawazo ya watu ambao hawako kwenye system.

Elimu ya msingi na sekondari ina jukumu la kuwapa vijana wetu mawazo ya jumla kuhusu ulimwengu wetu unavyoendeshwa katika nyanza zote na iachwe itimize lengo hilo!
 
  • Thanks
Reactions: gim
Back
Top Bottom