Elimu ya Tanzania haichangii chochote kwenye global science and technology kwasababu inahabiribiwa na mwingiliano wa lugha mbili

Hilo no kweli. Mtu aliyekariri hawezi kuwa mbunifu. Na huu mfumo wa kusoma kwa kiingereza kuanzia sekondari hauna usawa, unawapendelea matajiri na kuwaweka maskini katika disadvantage.
Swali la kujiuliza kwanini sisi masikini? Kwani uchina hawakuwa masikini, kwani uingereza na marekani hawakuwa masikini, waliwezaje kufikia mapinduzi ya viwanda na kuweza kujiendeleza katika maeneo yote, najua mwingine atasema walifikia huko kupitia unyonyaji na utumwa Kwa waafrika, ila tujiulize, kwanini na Afrika hatukuweza kuwa na makoloni yetu ulaya , Amerika na Asia, mbali na utajiri waliouiba wasia, waamerika na uchina wakatosheka na wakaonawatupe uhuru?
 
Hili ni somo refu la kusoma mavitabu kabisa.
 
Meneja kasema ndugu
Mkuu lugha tunayo izungumzia ni lugha ya kujifunzia na kujibia mitihani. Tukumbuke lugha ndio nyenzo inayotumika kuhamisha Maarifa kutoka kwenye vitabu kuingiza kichwani. Je tunauhakika watoto wetu wanaelewa vitabu au wanajisomea point tu.
 

Tanzania kinachotuangusha sio lugha. Ni utamaduni. We are docile society! That cultural practices are simply suicidal. Unless we change.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…