VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 798
Kwa hiyo aliyesoma MIT nae amuadabishe aliesoma UDSM. Right?Et wakuu niaje una 1ya17 ana C tatu wote advance
una 1ya 9 ana E mbili wote chuo
una GPA first clas ana GPA ya mwisho na ndo bosi wako
umesoma UD ye kasoma UDOM alafu kitaa kinakuadabisha