Elimu ya Tanzania yamtisha Mzungu, Globalist kaamua kuibadilisha!

Elimu ya Tanzania yamtisha Mzungu, Globalist kaamua kuibadilisha!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia.

Globalist kaogopa, katishwa na Tanzania, sisi ndiyo nchi pekee ambayo ilikuwa haipindiki kama mti wa mpingo, Elimu ya Tanzania inatoa vyuma kama Magu, Mkapa, Bashiru, Kabudi, Polepole, Slaa na wengineo, Mzungu kaona ili kuichukua Tanzania kama alivyofanya kwingine tuanze na kuibomoa Elimu yao, na wameanza kweli, lkn sidhani kama wataweza its too late tutaibuka tena na kuichukuwa Tanzania yetu, …
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia...
Mkuu, una uhakika tutaelewa unachotaka kutueleza?
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia...
Acha kufananisha vingine na vitu imara🚶
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia...
Atakaeelewa kilichoandikwa naomba anishtue
 
😂😂😂 Muwe mnakula kabla ya kuandika !!! Ni kweli vijana hatuna ajira na mitaji ila tusipoteze utimamu
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia...
Sijakuelewa japo umeandika kiswahili
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia.

Globalist kaogopa, katishwa na Tanzania, sisi ndiyo nchi pekee ambayo ilikuwa haipindiki kama mti wa mpingo, Elimu ya Tanzania inatoa vyuma kama Magu, Mkapa, Bashiru, Kabudi, Polepole, Slaa na wengineo, Mzungu kaona ili kuichukua Tanzania kama alivyofanya kwingine tuanze na kuibomoa Elimu yao, na wameanza kweli, lkn sidhani kama wataweza its too late tutaibuka tena na kuichukuwa Tanzania yetu, …
Aliyeelewa kilichoandikwa hapa anifafanulie pls
 
Dunia hii ukiona mtu mweusi anatembea kibabe na kujiamini basi ni aidha Black Amerikan au Mtanzania hayo ni maneno ya mgeni mmoja alieyeitembea Dunia ikiwemo Tanzania pia...

Umeanza vizur ila ulivyofika katikati siasa zikaingia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Back
Top Bottom