Elimu ya Tanzania

jonathan beda

Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
6
Reaction score
0
kwa utafiti unavyo onesha elimu ya Tanzania haiwaandai wanafunzi kukabiliana na mazingira yanayo wazunguka bali kukaa na kusubiri kuajiliwa, je kwa mwenendo kama huu tutafika kweli???
 
kwa utafiti unavyo onesha elimu ya Tanzania haiwaandai wanafunzi kukabiliana na mazingira yanayo wazunguka bali kukaa na kusubiri kuajiliwa, je kwa mwenendo kama huu tutafika kweli???

Hapa tuna andaa maandamano yasiyo na tija. Elimu ya kweli ni ile ya Elimu ya Kujitegemea na FTC. Ukiangalia hata nchi kama China na South Korea elimu ya Kati wameipa nguvu sana na ndio inamchango mkubwa ktk maendeleo. Sasa hivi kila mtu anasoma ili aajiriwe. Na akiajiriwa anashindwa kudeliver. Tuangalie upya mtaala wa elimu Tz.
 

nikweli kuna kila haja kuangalia mfumo wetu wa elimu toka ngaz ya chini mpaka elimu ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…