Elimu ya ufugaji wa bata mzinga

Elimu ya ufugaji wa bata mzinga

Naomba mwenye utaalamu wa ufugaji wa bata mzinga anipe elimu. Nataka kufuga kibiashara
Ni wazuri ila wanagarama sana kimatibabu ni kama mtoto mchanga maana yanaugua ugua ovyo na kuvimba vichwa kama hauna uzoefu au kuwa makini na chanjo kwa kweli unaweza pata hasara sana kwa kubeba yalokufa
 
Back
Top Bottom