Elimu ya vimondo

Elimu ya vimondo

Samahani mtoa mada hivi kimondo ni Asteroid au ni Meteor
 
View attachment 2986297

Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.

Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.

Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
View attachment 2986298
Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.

Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.

NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!

Nawasilisha.
View attachment 2986299
Good
 
Huwa nahisi hicho kimondo cha Mbozi kama tulipigwa!!
 
Kimondo ni chuma,je jua nalo ni chuma?
Kimondo kinapokuwa kwenye mfumo wake si chuma, kinakuja kuonekana kama chuma kinapoangukia dunia kutokana na kasi ya mwendo inayosababisha kipate joto kali sana linalosababisha kiungue huku baadhi ya sehemu huishia angani ni kingine huanguka na kikipoa huonekana kama chuma.
 
View attachment 2986297

Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.

Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.

Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
View attachment 2986298
Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.

Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.

NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!

Nawasilisha.
View attachment 2986299
Ndugu yangu umechanganya madesa hadi kukusahihisha inakuwa vigumu!

Kwa kifupi umedanganya au huna uelewa kabisa wa vimondo. Itoshe kusema hadithi yako ni nzuri lakini umepata 0%.
 
halafu kuna ule mwezi unaokula nazi kisha nazi zinakuwa mbovu unaambiwa "hii nazi imeliwa na mwezi" au mwezi unapika kwaio unakuja kuchkua nazi kuungia mboga?
 
Sayansi bora kabisa ya unajimu,sayansi hii ilinifanya nikalipenda somo la maarifa ya jamii toka nikiwa darasa la 3.

Ingawa mkuu umetuzaba mno,vimondo havitoki juani,infact ni vipande vya metal ambavyo vimekuwepo ktk sola system yetu miaka na miaka toka ipasuke kuwa ilivyo,na vingine vinatokea nje ya solar system yetu ikiwa kama matokeo ya kupasuka yanayoendelea kila siku ktk mzunguko wa maisha mbali mbali ya nyota nyingine kutoka galaxy nyingine pia.

Kinachotokea ni bahati mbaya tukimondo kinaingia duniani,kama kupotea njia,kitawaka kikiwa kinakwaruzwa na matabaka ya hewa,kikifanikiwa kutoisha kinatua mpaka chini.
Sasa.
 
Back
Top Bottom