Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Si unanyunda tu lwa miguu. Au wewe lwa kunyunda haliwezi? Mtoto keki mayai, ukila migagi, mabangayeye, vibama na mabumunda inageuka kuwa bututu?Wakilete kwa Mama John. Huko kote mbali sana
Kiko songwe kakosea mtoa mada😂😂😂😂Leo ndiyo nimejua hiki Kimondo kipo jijini Mbeya katika Wilaya ya Mbozi🤣🤣🤣
Kingekuwa Ilemi au Block T na mimi ningekiona
Anazingua BujibujiKiko songwe kakosea mtoa mada😂😂😂😂
Najua Mzee nilikuwa naupima uelewa wa jamaa kuhusu mambo ya angaMwezi hauna switch hivyo hauwaki wala hauzimi.
❌ mwezi hauwaki hata kidogo na wala hauko kama tunavyouona mwezini ni sehemu inayoendeka kama dunia ilivyoUnawaka......
Ila kimondo kinawaka paaap!!! Na kuzima
Uli copy kabla sijaedit...haya nijibu swali langu la msingi DR Mambo JamboHivi Ni Kibondo au Kimondo..
Kwa Nijuavyo Kibondo ni wilaya Ya Kigoma
Na kisyesye pamoja na kifuge na numbuSi unanyunda tu lwa miguu. Au wewe lwa kunyunda haliwezi? Mtoto keki mayai, ukila migagi, mabangayeye, vibama na mabumunda inageuka kuwa bututu?
GoodView attachment 2986297
Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.
Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.
Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
View attachment 2986298
Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.
Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.
NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!
Nawasilisha.
View attachment 2986299
🤣🤣Kibondo ni kimoja, vibondo ni vingi.
Mabondia ni makubwa na vibondo ni vidogo
Na mafyulisi na makatapera na mang'ang'a.Na kisyesye pamoja na kifuge na numbu
Kimondo kinapokuwa kwenye mfumo wake si chuma, kinakuja kuonekana kama chuma kinapoangukia dunia kutokana na kasi ya mwendo inayosababisha kipate joto kali sana linalosababisha kiungue huku baadhi ya sehemu huishia angani ni kingine huanguka na kikipoa huonekana kama chuma.Kimondo ni chuma,je jua nalo ni chuma?
Ndugu yangu umechanganya madesa hadi kukusahihisha inakuwa vigumu!View attachment 2986297
Kuna mdau kauliza swali kuhusu Vimondo kikiwemo na kile kinachopatikana Jijini Mbeya katika wilaya ya Mbozi. Nitajibu kwa ufupi tu, ili na wengine wapate kuelewa kuhusu Vimondo na chimbuko lake.
Ipo hivii.........kijiografia chimbuko la vimondo vingi vilivyopo huko angani (outer space) vimetoka kwenye jua. Yaani lile joto kali lililopo kwenye jua ndio husababisha mawe kutoka kwenye mzingo wake kuelekea kwenye baadhi ya Sayari.
Na mengi ya mawe hayo hukutana na ukanda wa baridi kali na kuganda na mwisho wa siku kuyeyuka bila kuleta madhara kwenye sayari zinazolizunguka jua ikiwemo dunia yetu. Bila ukanda huo wenye baridi kali sana (coldest layer) basi mawe hayo ya moto yangeleta athari kubwa sana huku Duniani.
View attachment 2986298
Tambua kwamba, vimondo vingi yaani (asteroids) vipo katika ya Sayari ya Jupita na Mars. Na hapo ndipo vilipotengeneza mkanda ambao kijiografia unaitwa ' main asteroids belt'. Na vingine hupenya zaidi kusogea kwenye ukanda wa ndani kwenye usawa wa Sayari tatu za mwanzo kwenye mfumo wa jua kwa maana ya Mercury , Venus pamoja na Dunia yetu hii.
Ikumbukwe pia hata hicho kimondo kilichopo Mbozi katika mkoa wa Mbeya ni kwamba, mnamo mwaka 1930 wanasayansi walikigundua Kimondo chenye ukubwa wa tani 16 ( metric tons ) Kimondo kile ni moja ya vimondo maarufu sana duniani kwa ukubwa na uzito vilivyowahi kuanguka na kugusa uso wa dunia yetu hii. Lakini pia kwa asilimia zaidi 99% ya Vimondo vilivyowahi kufika kwenye ardhi ya Dunia yetu hii ni Chuma.
NB: Kimondo kilichopo Mbeya hakikuanguka mwaka 1930, bali kiliangua miaka mingi tu huko nyuma. isipokuwa mnamo mwaka 1930 wanasayansi ndipo walipoanza kukichunguza. Asante!
Nawasilisha.
View attachment 2986299
ni kani ya msuguano nafikiriUnawaka......
Ila kimondo kinawaka paaap!!! Na kuzima