Elimu yenu inatuandaa kuwa mafisadi

Elimu yenu inatuandaa kuwa mafisadi

Material hapness

New Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Hapa ni kwa shule za government
1.walimu wanaiba pesa za chakula,wanafunz wanaona sumu inatengenezwa
2.shule ina rasilimali zakutosha ,pesa Zote zinaliwa hauoni paper ya kitabu kichonunuliwa.tunasitiza uzalendo wakati foundation imejegwa na maboksi.
 
Back
Top Bottom