jafucha1992
New Member
- May 8, 2013
- 1
- 1
Mimi ni mwanafunzi wa Dar es salaam Institute of Technology mwaka wa kwanza nachukua computer engineering.
lakini kuna kitu kimoja kinanisumbua kwanini wasomi wetu hawajulikani/hawatoi mchango katika jamii yetu .Kwa mfano mtu anachukua degree ya Agriculture lakini anapomaliza anaenda kutafuta kazi mjini badala ya kutumia maarifa aliyoyapata kwenda mashambani kufanya kilimo na mfano unamkuta mtu ana degree ya computer science afu hajawai kutengeneza hata software hata moja.Inashangaza,naitaji msaada wenu.
lakini kuna kitu kimoja kinanisumbua kwanini wasomi wetu hawajulikani/hawatoi mchango katika jamii yetu .Kwa mfano mtu anachukua degree ya Agriculture lakini anapomaliza anaenda kutafuta kazi mjini badala ya kutumia maarifa aliyoyapata kwenda mashambani kufanya kilimo na mfano unamkuta mtu ana degree ya computer science afu hajawai kutengeneza hata software hata moja.Inashangaza,naitaji msaada wenu.