Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Eliud Kipchoge avunja rekodi yake mwenyewe na kuwa mwanariadha wa kwanza kukimbia KM 42 kwa chini ya saa 2

Its a world record, labda useme kwamba sio ya IAAF kwasababu hafla yenye haikuwa ya IAAF. Ila kumbuka kwamba Kipchoge ndiye anayeshikilia WR rasmi ya IAAF kwenye marathon, 2:01:39.
World record hata wewe unaweza kuanzisha.

But who are you beating? Which record are you breaking?

Huu mchezo wa kukimbia huku watu wanazuia upepo usikupige haujawahi kufanyika, hivyo msilinganishe kukimbia huku watu wanazuia upepo usikupige na kukimbia naturally.

 
Diamond na harmonize huaga wanajitambulusha wenyewe katika social networks km east african musicians...sasa sijui ni kutojiamini au nn..

Manake ingelipendeza sana wajitambulishe km watanzania
Huyu kwanini msiseme ni kutoka "East Africa", au East Africans ni Diamond na Alikiba na Harmonize tu lakini ikifika upande wa wakenya kufanya vizuri hakuna EAC?.

Tukikataa EPA, free movement of people and businesses, hapo ndio mnaikumbuka EAC kwasababu inawaumiza. Ubinafsi na kupenda sifa ndio ugonjwa wenu.
 
See how ignorant you are, so you know better than IAAF? The official body in charge of athletics?
World record hata wewe unaweza kuanzisha.

But who are you beating? Which record are you breaking?

Huu mchezo wa kuk8mbia huku watu wanazuia upepo usikupige haujawahi kufanyika, hivyo msilinganishe kukimbia huku watu wanazuia upepo usikupige na kukimbia naturally.

 
42 km kwa masaa mawili....

Yaaan atakimbia km 21 kwa lisaa limoja,au 21km kwa dakika 60

Ni sawa na kusema atakimbia km 0.35 kwa dakika moja

Hii pia ni sawa tu nikisema atakimbia mita 350 kwa dakika moja

Pata picha tu...dakika moja huyu jamaa anakuwa kakimbia umbali sawa na viwanja vya mpira vitatu na nusu

Zaidi ni sawa na kusema atakimbia mita 5.8 kwa sekunde moja!!

Hehehehe, mita 5.8 kwa sekunde!! yetu macho,ngoja tusubili tujionee

Ndiyo nimeanza kuelewa baada ya uchambuzi wako.
Aksante.
 
Kisha kuna wajinga wame like hii analysis yako ya ki nafiki...

Nadhani sai unaona aibu ulipo
42 km kwa masaa mawili....

Yaaan atakimbia km 21 kwa lisaa limoja,au 21km kwa dakika 60

Ni sawa na kusema atakimbia km 0.35 kwa dakika moja

Hii pia ni sawa tu nikisema atakimbia mita 350 kwa dakika moja

Pata picha tu...dakika moja huyu jamaa anakuwa kakimbia umbali sawa na viwanja vya mpira vitatu na nusu

Zaidi ni sawa na kusema atakimbia mita 5.8 kwa sekunde moja!!

Hehehehe, mita 5.8 kwa sekunde!! yetu macho,ngoja tusubili tujionee
 
See how ignorant you are, so you know better than IAAF? The official body in charge of athletics?
This is not an IAAF record.

Wamempongeza tu kama watu wanavyompongeza JF.

Unabisha?

Kipchoge ametengeneza artificial conditions za kumsaidia kushinda.

This is not a natural marathon.
 
Nyinyi Nyang'au ni majinga sana amevunja record bila mashindano ?
This is not a world record dude it is Kipchoge's record.
 
Last night
EGncChiWkAAgRao
 
Hongera zake. Hapo mpunga unazidi kujaa na kumwagika.
 
This is not a world record due to artificially simulated conditions.

He is the one holding the current world record, his own, but here he was only trying to prove the possibilities of running 42km in under 2 hours.
 
This is not an IAAF record.

Wamempongeza tu kama watu wanavyompongeza JF.

Unabisha?

Kipchoge ametengeneza artificial conditions za kumsaidia kushinda.

This is not a natural marathon.
Can you congratulate a loser? Wamempongeza kwa kufanya kitu ambacho hakuna binadamu amewahifanya. Meaning he has broken the record enye yeye mwenyewe ndiye aliset.
 
Hapa hatuongelei hiyo ya awali, tunaongelea hii ya sasa.

Hajafuata standards za marathon. Hii ya sasa si marathon record, haihesabiwi katika vitabu vya marathon records.
Nani amepinga? Eliud hana haja ya kuweka record kwani tayari ana world record. Hapa alikuwa anajaribu kuweka historia kuwa binadamu wa kwanza kukimbia marathon chini ya masaa mawili. Ndio, hii ya leo hajavunja world record lakini amevunja historia bado na ataingia Guiness world book of records. World record alivunja Berlin mwaka uliopita.wacha kupingana na sisi kwani sisi ndio wenyeji tunajua haya mambo.
 
What's a record? Answer the question.
You have failed to ask a question.

You posed a vague question.

I answered you a musical album is a record.

Ukisema a record is achieving what was never done before, hata wewe unaweza kuanzisha kitu ambacho hakijafanywa ukasema una record.

But that does not mean anything, because there is no comparison point.

Ningemuona Kipchoge ni champion kama angekimbia hivyo bila watu wa kumsaidia asipigwe na upepo.
 
Back
Top Bottom