Km Wakenya wangekuwa wana roho japo nusu yako tungekuwa nao pamoja kwa mambo mengi sn mana cc waTz dunia inatujua kwa upole na ukarimu Afrika inafaam km ikitokea machafuko kwao kimbilio lao ni wapi hatunaga makuu hatunaga ugomvi na ndugu zetu majirani uwe msauzi ata kama unaniuwa nchini kwako nitakukaribsha kwangu na maji ntakupa chakula mpk chumba ntakupa lkn ss tumeona ukarimu wetu kuna baadhi ya waafrika fulani wanautafsiri vby ss tumeona tuwaoneshe upande wetu wa pili wa shilingi kwmb na cc ushenzi tunaujua na tunauweza vile ata km ni kwny soka ukitupokea vby kwako uctegemee mapokezi mazuri bongo ivyo yn tunafanya maendeleo na tunatangaza heri heri Shari Shari mana ndugu zetu mntaka na cc tuishi km nyinyi