Sio hali ya kawaida Kwa mtu wa kawaida eliud kipchoge ambae ni mwanariadha ambae amezidiwa followers hata na gigy money, umber lulu na baba Levo kwenye ukrasa wa Instagram ila ajabu ni kuwa Cristiano Ronaldo amemfollow
Ninachowaza ni kuwa Kwa uhusiano upi mpaka afuatwe na mtu mkubwa kama Ronaldo na ukicheki eliud sio maarufu kivile hata Erick Omondi kamzidi.
View attachment 2717161View attachment 2717162