Eliud Kipchoge Vs Usain Bolt nani zaidi: Analysis

Yaani kila lisaa limoja inaenda kilometer 21 tu? Au dakika 20 inaenda kikometre 7 tu? Tuseme kwa hapa Dar Umbali wa Posta mpaka Makumbusho kweli? Ni barabara ya aina gani hiyo? Au foleni Sana nini?
Huku kwetu km 21 tunatembea kwa dakka 13 ukiwa kasi na dakka 16 ukiwa kawaida
 
Kipchoge ni zaidi.
 
Tusitafute uhusiano kwa tochi baada ya ushindi ni (Mkenya)
Nani kakwambia KIPCHOGE sio wa EAST AFRICA??? tena east Africa inacomprise TANZANIA, UGANDA and kenya!
 
Km 37.5 ,, kwa gar ni dakk 45View attachment 1232229
1) Hiyo ni minimum, so yaweza kua zaidi
2) Hawajasema popote kua ni "Kwa gari", inaweza kua hata ni kwa miguu.

Kuna kipindi nilikua nina ratiba ya kutembea kila asubuhi umbali wa kilometa 1 kwa dakika 20, ni kama tu mita 50 (nusu uwanja wa mpira) kwa dakika 1.
 
UMBALI WA KUTOKA MBEYA MJINI MPAKA TUKUYU NI 42KM NA GARI HUWA ZINATUMIA MASAA 2 IKUMBUKWE KUWA BARABARA NI LAMI TUPU...SASA HUYO KIPCHOGE KAKIMBIA MASAA 2 KASORO huyo SIYO mtu Wa kawaida itakua wanatumia madawa hao bwana
42Km gari itumie 2hrs?
Mzee Tanga Dar ni almost 331Km wanaume wanatumia 3hrs
Vipi 42 km itumie SAA Mbili?
 
Mwenye uwezo wa kukimbia umbali mfupi kwa spidi kali anao uwezo wa kukimbia umbali mrefu kwa spidi ndogo lakini mwenye uwezo wa kukimbia umbali mrefu kwa spidi ndogo hawezi kukimbia umbali mfupi kwa spidi kali.
 
Wewe tumeelewana, tuko sawa.
 
bolt ni mchumba tu kwa limsela kipchonge
 
MuEthiopia Emmanuel Gabriselassie alikuwa akishiriki mbio za mita 5000 lakini pia aliwahi kushiriki za mita 10,000 na akafanya vizuri pia.
 
Ni sawa na kumlinganisha Anthony Joshua na Myweather jr
 
naweee! kwani BOLT sio bingwa wa dunia? kwani Kipchoge hajaweka record! kavunja record na kuweka record.


hawa wote wawili huwezi sema yupi mkali kumzidi mwezie, kila mtu mkali kivyake!
Bolt bingwa wa dunia kivipi we nae wakati ameshastaafu? Bingwa wa dunia kwasasa kwenye 100m ni Christian Coleman na kwenye 200m ni Noah Lyles
 
UMBALI WA KUTOKA MBEYA MJINI MPAKA TUKUYU NI 42KM NA GARI HUWA ZINATUMIA MASAA 2 IKUMBUKWE KUWA BARABARA NI LAMI TUPU...SASA HUYO KIPCHOGE KAKIMBIA MASAA 2 KASORO huyo SIYO mtu Wa kawaida itakua wanatumia madawa hao bwana
hahaha.... hilo ni gari au baiskeli?? maana hata tractor au katapila haichukui muda wote huo.
 
Mbeya tukuyu ni 70km na kawaida gari hutumia saa moja na nusu ila sababu ya police Mara abiria wapande na kushuka Mara wasubirie abiria mda mwingine ndio yanaweza fika masaa mawili
 
Sio sawa kuwalinganisha Bolt na Eliudi kwa maana wanakimbia mbio tofauli zenye mikakati tofauti ya kupata ushindi
 
Unaweza kukimbia mbio fupi kwa constant speed mpaka mwisho lakini speed hiyo huwezi kuitumia mbio ndefu ya km 42 si kweli.
Hawatakiwi kulinganishwa.
Kwani huyo kipchoge taifa gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…