Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hahahahahahahhhaha

Kamati ya ulinzi ya cc impatie ulinzi Elizabeth Dominic.

Hongera sana Eliza , wewe ni mwanamke shujaa sana,kuanzia leo kile cheo cha Madame B cha mwana mke rijali sasa ni chako ,wewe ndio mwanamke rijali.

Madame B kwisha habari yake ,chezea ELiza wewe?
hahahahah akhsante max kwa kutuletea jf.

My akanana Passion Lady naomba huwe karibu na @ madame b asije kujirestisha.

hahahahah
Madame B pole sana huu ni wakati wako tulia udungwe sindano na dr Elizabeth Dominic.

Tafadhali Lady doctor njoo ummpime pressure Madame B ukisaidiana na Heaven on earth.

Hahahhahaha kumbe kila mtu ana mbabe wake bhana.
kumekucha.
Nina mhakikishia ulinzi Elizabeth dominic

Kwa kumtambua kwako mwenyekiti mpya, na kwa kuwa umetambua (acknowledgement) ndoa hii kati ya Ben Saanane na Mkewe mpya Elizabeth Dominic, Nakutunukia cheti cha Daktari wa falsafa yaani Philosophy Degree (Lawyer). Kuanzia leo utaitwa Dr. Ruttashobolwa PhD. LLB.

COPY Erickb52
 
aliyekwambia bila mentor siwezi kuishi ni nani?
nani amekwambia kuwa niko naye? kwanini kaka
unaleta matatizo hapa jamvini unataka asimame
na kuingia hapa kwanini umemmention huyu M....r?

:noidea:

cousin kuna nini kwani? Mbona wamtia masingi kaka binamu? Vibaya hivyo jamani hebu msamehe maana akawii kumwaga chozi mwanaume yule.
 
Last edited by a moderator:
Hello wana Chitchat!
Ninaomba mpokee taarifa ya mahusiano mapya kati ya Elizabeth Dominic na Ben Saanane kuanzia leo.
Nimeyafiki mapinduzi haya kwa kuwa Madame B anamiliki SACCOS ya wanaume wakati Elizabeth Dominic hana wa kumpetipet. Tabia hii ya SACCOS ya Madame B imekuwa ikimuumiza sana Ben Saanane na kumnyima usingizi akiwaza ni lini atapata mke wake peke yake...! Hivyo leo wameamua kuungana na huyu kimwana kuwa kitu kimoja ili awe ana bofya akijisikia na sio kupangishwa foleni kama yuko clinic!
Nawatakia maisha mema ya ndoa yao!

I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano
Ruttashobolwa msome hapo kwenye pink. bado anajiita mwenyekiti wa mahusiano na wala sio mtoa taarifa tu.
 
Last edited by a moderator:

jamani mbona mwamfanyia hila
mke mwenzetu namna hiyo?mume anyang'anywe
na adhabu apewe yeye khaaa shem muombee msamaha!!
 
huyo Erickb52 si aliahidi kukabidhi madaraka kwa Baba V ikithibitika Mama v anaexist? mbona mama v alijitokeza lakini bado analazimisha madaraka? njaa itamuua.

Hahahahaaaa
Usifukie maovu kupitia uongozi wangu....wewe umemsaliti Kaizer na ukiendelea kuleta maneno yako naivuna ndoa yako kwa msimamo wa mahusiano yako na yule jamaa
Nakuomba unitue na uenyekiti wangu...hunijui eeeh shauri yako...!

Cc Kaizer Arushaone
 
Last edited by a moderator:
hhahahah
hakuna nyenyere wala nini..tushajua we si muadilifu..baas
a
Hilo sahau.....!
Nimekuja kikazi mwallu
We baki na nanii yako hakuna wa kuitoa kwa sasa....kila mtu yuko na ya
mkewe eboooo we iache iliwe na nyenyere hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
ana nini na kiti hiki?
akiachie

Hivi jimboni mnafundishwa ugomvi?
Nina wasiwasi km we ni mtawa....nahisi unajiita mtawa kwa kuwa hujapata wa kutumia rasilimali zako za central hahahaaaa
Kuanzia leo sitambui utawa wako

Cc DEMBA Arushaone
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahahhhaha

Kamati ya ulinzi ya cc impatie ulinzi Elizabeth Dominic.

Hongera sana Eliza , wewe ni mwanamke shujaa sana,kuanzia leo kile cheo cha Madame B cha mwana mke rijali sasa ni chako ,wewe ndio mwanamke rijali.

Madame B kwisha habari yake ,chezea ELiza wewe?
hahahahah akhsante max kwa kutuletea jf.

My akanana Passion Lady naomba huwe karibu na @ madame b asije kujirestisha.

hahahahah
Madame B pole sana huu ni wakati wako tulia udungwe sindano na dr Elizabeth Dominic.

Tafadhali Lady doctor njoo ummpime pressure Madame B ukisaidiana na Heaven on earth.

Hahahhahaha kumbe kila mtu ana mbabe wake bhana.
kumekucha.
Nina mhakikishia ulinzi Elizabeth dominic

Asante mwaya Ruttashobolwa ulinzi hata sihitaji husby kaweka KK home Mikocheni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom