Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Kwa kumtambua kwako mwenyekiti mpya, na kwa kuwa umetambua (acknowledgement) ndoa hii kati ya Ben Saanane na Mkewe mpya Elizabeth Dominic, Nakutunukia cheti cha Daktari wa falsafa yaani Philosophy Degree (Lawyer). Kuanzia leo utaitwa Dr. Ruttashobolwa PhD. LLB.

COPY Erickb52
 
aliyekwambia bila mentor siwezi kuishi ni nani?
nani amekwambia kuwa niko naye? kwanini kaka
unaleta matatizo hapa jamvini unataka asimame
na kuingia hapa kwanini umemmention huyu M....r?

:noidea:

cousin kuna nini kwani? Mbona wamtia masingi kaka binamu? Vibaya hivyo jamani hebu msamehe maana akawii kumwaga chozi mwanaume yule.
 
Last edited by a moderator:
Ruttashobolwa msome hapo kwenye pink. bado anajiita mwenyekiti wa mahusiano na wala sio mtoa taarifa tu.
 
Last edited by a moderator:

jamani mbona mwamfanyia hila
mke mwenzetu namna hiyo?mume anyang'anywe
na adhabu apewe yeye khaaa shem muombee msamaha!!
 
huyo Erickb52 si aliahidi kukabidhi madaraka kwa Baba V ikithibitika Mama v anaexist? mbona mama v alijitokeza lakini bado analazimisha madaraka? njaa itamuua.

Hahahahaaaa
Usifukie maovu kupitia uongozi wangu....wewe umemsaliti Kaizer na ukiendelea kuleta maneno yako naivuna ndoa yako kwa msimamo wa mahusiano yako na yule jamaa
Nakuomba unitue na uenyekiti wangu...hunijui eeeh shauri yako...!

Cc Kaizer Arushaone
 
Last edited by a moderator:
hhahahah
hakuna nyenyere wala nini..tushajua we si muadilifu..baas
a
Hilo sahau.....!
Nimekuja kikazi mwallu
We baki na nanii yako hakuna wa kuitoa kwa sasa....kila mtu yuko na ya
mkewe eboooo we iache iliwe na nyenyere hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
ana nini na kiti hiki?
akiachie

Hivi jimboni mnafundishwa ugomvi?
Nina wasiwasi km we ni mtawa....nahisi unajiita mtawa kwa kuwa hujapata wa kutumia rasilimali zako za central hahahaaaa
Kuanzia leo sitambui utawa wako

Cc DEMBA Arushaone
 
Last edited by a moderator:

Asante mwaya Ruttashobolwa ulinzi hata sihitaji husby kaweka KK home Mikocheni
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…