Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Hata sisi tunakisaka kizaigoti.

Halafu nakimiss kiwowowo ujue

nawashangaa miaka yote hiyo hata ya bahati mbaya hamna, nyie ni wagumba nini?

Halafu mi nilijua tangu upigwe marufuku kuniita kiwowowo utajirekebisha ngoja nikakusemee kwa mumewangu, we huoni mwenzio Baba V kashika adabu yake
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa
JF hairuhusu kuquote msg ya mwisho....! Baba V ana stress zake ndio maana kaacha kukuita
 
Last edited by a moderator:
chama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
Madame B
unataka yakukute mara ngapi? wote tunajua Ben Saanane mtata huko kwenye M4C ni uzinzi mtupu hakuna lolote unadanganyika na six pack hayo matiti yasikushtue sana! Kelele za M4C kama vile wanawari wapo unyagoni hazishtui kabisa wewe njoo ule raha motomoto na Bujibuji!
 
Last edited by a moderator:
Madame B, siku ile nilizuga tu ili nipate huruma yako, nilale kwako. Huoni tulivyo u saula tu pombe yote ilivyokata? Unakumbuka nilivyosimamia kucha hadi jua la saa nne asubuhi? Unakumbuka ulivyokuwa ukiipepea tukuyu baada ya kuepelekewa moto wa gesi?


chama unaongea sana na wewe, mi mwenzako ni mtu wa action tu, bila kujalisha ni mbinu dhaifu kiasi gani nitaitumia, lakini mwisho wa siku lazima nile kuku na mchele wake
Bujibuji
Mto wenyewe hujauvuka umeanza kumtukana mamba? Mimi najaribu kukusaidia ili upate kula vya uhakika vile vidagaa vilivyochina vya Coco Beach havifai kwa matumizi ya binadamu; Madame B anajifanya kuuchimba kumbe mnajuana? pombe mnywe wote lawama akupe wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mke mwenza maisha si ni kupanga...sasa ikiwa ya bahati mbaya huyo mtoto si ataishi makusudi aisee
nawashangaa miaka yote hiyo hata ya bahati mbaya hamna, nyie ni wagumba nini?

Halafu mi nilijua tangu upigwe marufuku kuniita kiwowowo utajirekebisha ngoja nikakusemee kwa mumewangu, we huoni mwenzio Baba V kashika adabu yake
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa
JF hairuhusu kuquote msg ya mwisho....! Baba V ana stress zake ndio maana kaacha kukuita

Nawasoma tu kupitia side mirrors... jinafasini kwani nikianza kuwabana mbavu hakuna kuomba poo..!!
 
Last edited by a moderator:
hahahah............ Madame B kwa mahaba niliyokupaga bado unayakumbuka tu,mpaka leo huamin kama nilishakutaraka?..tehtehteh[/B]

Oya hebu ka intervene kwenye kura za miss chit chat, uliyemkasmisha majukumu yako ameshindwa hata kutuwekea poll.. sisi wengine na hangover zetu tunashindwa kupiga kura... We miss you there..!
 
Last edited by a moderator:
Shem huyo mumeo Erickb52 anavuka mipaka ya uongozi....ngoja dawa yake iko jikoni.....!

Wewe ndo mpiga debe wake ulioshirikiana nae kufanya pindua pindua.. Leo unaanza kulalama.. Tulisema sie Erickb52 kuwa kiongozi ni sawa na fisi kumkabidhi bucha.. Wake zetu hawatakuwa salama..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom