Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Hata sisi tunakisaka kizaigoti.
Halafu nakimiss kiwowowo ujue
Hahahahaa
Kumiss kiwowowo kosa
Madame Bchama, niache nipumue na my sweet.
Kawalia nini!
Yaani nakwambia 2015 lazima mkalie upanga na Tutawaburuza mpaka mtujue sie M4C ni nani.
Muache Ben Saanane wangu atulie, mwanaume wa shoka, kifua Six pack.
BujibujiMadame B, siku ile nilizuga tu ili nipate huruma yako, nilale kwako. Huoni tulivyo u saula tu pombe yote ilivyokata? Unakumbuka nilivyosimamia kucha hadi jua la saa nne asubuhi? Unakumbuka ulivyokuwa ukiipepea tukuyu baada ya kuepelekewa moto wa gesi?
chama unaongea sana na wewe, mi mwenzako ni mtu wa action tu, bila kujalisha ni mbinu dhaifu kiasi gani nitaitumia, lakini mwisho wa siku lazima nile kuku na mchele wake
Mamndenyi
nawashangaa miaka yote hiyo hata ya bahati mbaya hamna, nyie ni wagumba nini?
Halafu mi nilijua tangu upigwe marufuku kuniita kiwowowo utajirekebisha ngoja nikakusemee kwa mumewangu, we huoni mwenzio Baba V kashika adabu yake
....tutacheza wa kwetu...Njoo tuone mpira....
Hiyo ya Ben Saanane na Madame B ilishahamishwa kutoka ICU hadi mochwari. Nadhani unajua maana yake.
CC Erickb52
Mie sijambo.
Napetiwa hapa na my huz tedo.
My huz mwingine Ben Saanane kaenda kwenye mkutano, Chilli katoka, Remote kasafiri, Chibolo yuko shamba.
Arushaone ananibembeleza turudiane.
Ruhazwe JR yuko kwa mamake Mamndenyi.
Hali yangu nzuri sana na ka mimba kangu.
hahahah............ Madame B kwa mahaba niliyokupaga bado unayakumbuka tu,mpaka leo huamin kama nilishakutaraka?..tehtehteh[/B]