Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Elizabeth Dominic ampindua Madame B kwa Ben Saanane

Dahhh..... Ben Saanane wangu uko wapi jamani.
I really missing you.....
I miss those days at Togo M4C.
Luv youuuu popote ulipo.
Madame B
Nilikuwa napoteza Time Yangu Bure Tuu Kumbe Kuna Vigogo

[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji111] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
 
Nitongoze upya basi jamani
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]

Ngoja Nije Kuliamsha Dude
 
Hello wana Chitchat!
Ninaomba mpokee taarifa ya mahusiano mapya kati ya Elizabeth Dominic na Ben Saanane kuanzia leo.
Nimeyafiki mapinduzi haya kwa kuwa Madame B anamiliki SACCOS ya wanaume wakati Elizabeth Dominic hana wa kumpetipet. Tabia hii ya SACCOS ya Madame B imekuwa ikimuumiza sana Ben Saanane na kumnyima usingizi akiwaza ni lini atapata mke wake peke yake...! Hivyo leo wameamua kuungana na huyu kimwana kuwa kitu kimoja ili awe ana bofya akijisikia na sio kupangishwa foleni kama yuko clinic!
Nawatakia maisha mema ya ndoa yao!

I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano

Special Copy: Madame B

Cc Arushaone Bishanga Chocs Arabela Filipo The secretary Mamndenyi Kaizer DEMBA sosoliso Paloma amu Heaven on earth Lady doctor charminglady C6 Fixed Point SnowBall gfsonwin snowhite Dark City sweetlady Blaki Womani PakaJimmy Mungi LiverpoolFC nitonye Avemaria beibe nasty Preta watu8 ladyfurahia measkron@ stevoh YNNAH KOKUTONA Excellent Katavi kiwatengu shansarie Passion Lady Mtoto halali na hela Mentor TANMO Ruttashobolwa-Mr Rocky Dena Amsi Slave KakaKiiza Nivea mimi49 zubedayo_mchuzi mwallu Mrembo by Nature Mzee Kongosho Baba V Mzee wa Rula marejesho Nicas Mtei Asprin chama-
Dah!!!
Kitambo jamani
 
Back
Top Bottom