kweli aisee..naskia ye ndo anaprovide kila kitu kwa mama na mdogo ake..kodi.
ada na mengineyo
aombe tu ashinde kesi.
atawaacha vibaya
Yuko poa tu pale kinondoni.Kwani kanumba mwenyewe anasemaje ?
Hahahah we jamaa ni GT wakutoshaKanumba alikuwa hatari kwa jamii, maana kaanza kukitafuna kilulu tangu kikiwa kitoto. Who knows, labda angekuwepo mpaka leo angemuona Lulu mzee angekuwa anatafuna vitoto vingine visivyokuwa na matiti. Yule jamaa alikuwa Paedophile.
Yuko poa tu pale kinondoni.
Hana noma wala nini!
hahahaaaaa, pamoja na hayo ata uziri anao hata bila hayo ma salon.Chezea skin foundation wewe. Saloon treatments hizo. Kutana naye asubuhi kabla ya kuoga utarudi hapa kufuta comment yako.
Poa naja nowShoga nlilala Jana loojj!umbea umenipitaaa haya usinisahau PM
Bongo kweli Nyoso,kila kitu kinawezekana.[emoji15] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] tupe udaku shoga
Nilishangaa kusikia anataka kujiunga na degree nkauliza anatumia vyeti vya nani
Wanapenda sana Gambe hao wamama!Mama yake mwenyewe w.end hii alikua anapiga huko Mbezi ya juu kwenye bar na mwenzie baada ya kulewa mama bd anajiuza nae
Analaani kitendo cha Lulu kumpelekea mabwana zake awaone laivu.Mpo nae mavumbini?,mwambie aseme jambo kakaa sana kimya?
Malaika wa kifo....! Pole Liz hili nalo litapitaIkiwa imebakia siku moja kuanza kusikilizwa tena kwa kesi ya mauaji ambayo inamkabili, msanii Elizabeth Michael (Lulu) amesema yupo tayari kukabiliana na kesi hiyo, ambayo alijua ipo siku itarudi tena.
Lulu ameyasema hayo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa alikuwa na taarifa ya kesi hiyo kabla watu hawajaipata kwenye mitandao, na utaratibu wa kisheria ulifuatwa.
“Unajua watu hawajui sheria, kesi haikuwahi kuisha ni pocedure ya kawaida ya mahakama imefuatwa na ni muda wake umefika sasa , siyo kama imeibuka tu, na kwasababu mimi ndiye muhusika nimepata taarifa kwa njia ya kisheria siyo kama nyie kwenye mitandao, na pengine niliipata kabla yenu”, amesema Lulu.
Lulu ameendelea kusema kwamba kuwepo kwa kesi hiyo kunamuathiri kwa kiasi kikubwa kwenye kazi zake na maisha yake kiujumla. Kesi inayomkabili muigizaji huyo wa bongo movie inatarajia kusikilizwa tena kesho Oktoba 19, 2017 baada ya kuwa nje kwa dhamana kwa muda mrefu.
Elizabeth Michael (Lulu) anakabiliwa na kesi ya kusababisha kifo bila kukusudia cha aliyewahi kuwa muigizaji wa filamu nchini, Steven Kanumba, mnamo April 7, 2012 .
EATV
Hahahahah mkuu unatisha!
Katoto kazuri utafikiri hakanyi.
Mmmh mkuu na wewe...
Huyu zari rafiki zake Huddah, Vera, Sinta?...what's so special?
umeona enh!Nyuma ya keyboard kila mtu msafi na mtoa hukumu!
Nenda Pm sasaShoga nlilala Jana loojj!umbea umenipitaaa haya usinisahau PM