Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

kweli aisee..naskia ye ndo anaprovide kila kitu kwa mama na mdogo ake..kodi.
ada na mengineyo
aombe tu ashinde kesi.
atawaacha vibaya

Mama yake mwenyewe w.end hii alikua anapiga huko Mbezi ya juu kwenye bar na mwenzie baada ya kulewa mama bd anajiuza nae
 
Kanumba alikuwa hatari kwa jamii, maana kaanza kukitafuna kilulu tangu kikiwa kitoto. Who knows, labda angekuwepo mpaka leo angemuona Lulu mzee angekuwa anatafuna vitoto vingine visivyokuwa na matiti. Yule jamaa alikuwa Paedophile.
Hahahah we jamaa ni GT wakutosha
 
Chezea skin foundation wewe. Saloon treatments hizo. Kutana naye asubuhi kabla ya kuoga utarudi hapa kufuta comment yako.
hahahaaaaa, pamoja na hayo ata uziri anao hata bila hayo ma salon.



 
Mtazame hapa diva The boss lady akitokwa na mapovu huko mtandaoni
 
Mama yake mwenyewe w.end hii alikua anapiga huko Mbezi ya juu kwenye bar na mwenzie baada ya kulewa mama bd anajiuza nae
Wanapenda sana Gambe hao wamama!

Kibaya zaidi hadi sura zao zimechakaa kwa kilevi na hawajishtukii
 
Mpo nae mavumbini?,mwambie aseme jambo kakaa sana kimya?
Analaani kitendo cha Lulu kumpelekea mabwana zake awaone laivu.
Kitendo hicho kinampa wakati mgumu sana.

Ameahidi kuliamsha dude one day.
 
Malaika wa kifo....! Pole Liz hili nalo litapita
 
"Na nikitaka mke jasiri,Nitatuma mshenga kwa lulu"-Stamima
 
Nyuma ya keyboard kila mtu msafi na mtoa hukumu!
umeona enh!
yani huyu binti WANASAHAU MAZINGIRA ALIYOJIKUTA ANAKUA NDIYO YALIYOMPLEKA AKAWA NA PAST HIYO NA PENGINE PRESENT!
MTOTO ALIYEKUZWA KWENYE LINDI LA UFUSKA NA KUTAMNBULISHWA KWENYE JAMII INAYOMTAZAMA KAMA MKUBWA (IKIWEMO MAMA YAKE MZAZI)
TULITEGEMEA AWEJE TOFAUTI NA HAPA!
TENA KWANZA AMEJITAHIDI SANA KURUDI ANGALAU KUTULIA!
NIKILINGANISHA MAISHA AMBAYO AMEPITIA HUYU ANA KISASI NA JAMII YAKE NA NDO MANA NI KAMA MTU ASIYEJALI SANA!
HATA WAKIMFUNGA BADO KASHAJIVUNJIKIA NDANI WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
ATABAKI ANAINGIA GEREZANI TU LAKINI NI KAMA AMESHAZIRA FLAN HIVI!
watu wanamuona SHE IS UNBREAKABLE NA YANAYOMKUTA!
lakini AMESHAJICHOKEA !
ni ile tunasema WAT EVER COME MAY!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…