Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

umeona enh!
yani huyu binti WANASAHAU MAZINGIRA ALIYOJIKUTA ANAKUA NDIYO YALIYOMPLEKA AKAWA NA PAST HIYO NA PENGINE PRESENT!
MTOTO ALIYEKUZWA KWENYE LINDI LA UFUSKA NA KUTAMNBULISHWA KWENYE JAMII INAYOMTAZAMA KAMA MKUBWA (IKIWEMO MAMA YAKE MZAZI)
TULITEGEMEA AWEJE TOFAUTI NA HAPA!
TENA KWANZA AMEJITAHIDI SANA KURUDI ANGALAU KUTULIA!
NIKILINGANISHA MAISHA AMBAYO AMEPITIA HUYU ANA KISASI NA JAMII YAKE NA NDO MANA NI KAMA MTU ASIYEJALI SANA!
HATA WAKIMFUNGA BADO KASHAJIVUNJIKIA NDANI WEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
ATABAKI ANAINGIA GEREZANI TU LAKINI NI KAMA AMESHAZIRA FLAN HIVI!
watu wanamuona SHE IS UNBREAKABLE NA YANAYOMKUTA!
lakini AMESHAJICHOKEA !
ni ile tunasema WAT EVER COME MAY!
Thank uu for this!
 
20589849_160943114475922_2222556347734425600_n.jpg


Katoto kazuri utafikiri hakanyi.
Kanakunya bagia hahahahah
 
Kanumba alikuwa hatari kwa jamii, maana kaanza kukitafuna kilulu tangu kikiwa kitoto. Who knows, labda angekuwepo mpaka leo angemuona Lulu mzee angekuwa anatafuna vitoto vingine visivyokuwa na matiti. Yule jamaa alikuwa Paedophile.
comments kama hizi ni adimu sana kwa MAREHEMU
 
Mmh mtoto mdogo ila anamatukio kuliko mtu mzima mtoto anabeba baba zake na kaka zake ki umri na mama mtu anachekelea samaki mkunje angali mbichi kisha kiwa sugu wa matukio huyu du
 
Back
Top Bottom