Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

Elizabeth Michael (Lulu) afunguka haya juu ya kesi yake

Mungu amfanyie wepesi katika Mapito yake,I feel sorry for her coz umri wake na kesi iliyoko mbele yake haviendani kabisa.
 
20589849_160943114475922_2222556347734425600_n.jpg


Katoto kazuri utafikiri hakanyi.
kanakunya ila hakanyi mavi kenyewe kanakunya keki
 
Angedaka mimba ya fasta ......mjamzito hafungwi

wakati wa utetezi na maombolezo wakili wake

angechomekea hiyo fact
 
Ikiwa imebakia siku moja kuanza kusikilizwa tena kwa kesi ya mauaji ambayo inamkabili, msanii Elizabeth Michael (Lulu) amesema yupo tayari kukabiliana na kesi hiyo, ambayo alijua ipo siku itarudi tena.

20589849_160943114475922_2222556347734425600_n.jpg


Lulu ameyasema hayo leo alipokuwa akipiga stori na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, na kusema kuwa alikuwa na taarifa ya kesi hiyo kabla watu hawajaipata kwenye mitandao, na utaratibu wa kisheria ulifuatwa.

“Unajua watu hawajui sheria, kesi haikuwahi kuisha ni pocedure ya kawaida ya mahakama imefuatwa na ni muda wake umefika sasa , siyo kama imeibuka tu, na kwasababu mimi ndiye muhusika nimepata taarifa kwa njia ya kisheria siyo kama nyie kwenye mitandao, na pengine niliipata kabla yenu”, amesema Lulu.

Lulu ameendelea kusema kwamba kuwepo kwa kesi hiyo kunamuathiri kwa kiasi kikubwa kwenye kazi zake na maisha yake kiujumla. Kesi inayomkabili muigizaji huyo wa bongo movie inatarajia kusikilizwa tena kesho Oktoba 19, 2017 baada ya kuwa nje kwa dhamana kwa muda mrefu.

Elizabeth Michael (Lulu) anakabiliwa na kesi ya kusababisha kifo bila kukusudia cha aliyewahi kuwa muigizaji wa filamu nchini, Steven Kanumba, mnamo April 7, 2012 .



EATV
Hiyo kuua bila kukusudia huwa ni deal la kumwokoa mtu na mahabusu. Utajuaje mtu ameua bila kukusudia kabla hata kesi haijahukumiwa? Huo ni usanii wa kisheria. Na kwa kuwa watu wengi ni mbumbumbu kwenye masuala ya kisheria basi wanadanganyika kiurahisi sana.
Mfano nwingine kwenye usanii wa kisheria huwa eti kitu kikiwa mahakamani hutakiwi kukizungumzia....why?
Kwani mahakamani ni mbinguni kwa Mungu? Ni kifungu gani cha sheria kinakataza kuzungumzia suala lililopo mahakamani?
Mimi nikiwa mbunge nitakwenda bungeni kuhoji uhuni huu wa kisheria. Inaudhi sana!
 
Back
Top Bottom