Elizabeth Michael (lulu) ana gundu auu ni nini?

Elizabeth Michael (lulu) ana gundu auu ni nini?

~Lulu kila mti anaojitahidi kushika unateleza...

~Kanumba alivuta.

~Kapteni k naye akavuta.

~Majizo naye anaozea selo...

~Lulu ana nini Lulu??
Umemsahau seki yule mfanyabiashara nae akafa
 
hahahaaa aende kwa mzee wa "kamata chini, kamatia chini[emoji442][emoji445][emoji445][emoji445]"
Aaa nasikia na hapo alishapitia. Mtoto ameumaliza mji wooote kila mtu kapitia
 
Pamoja na mapungufu hayo lakini nasikia mtoto huyu ni mtamu atar kunako sita kwa sita
 
Kuku akifungwa kamba mguuni anapiga mazoezi, ukimuweka kabatini utabaki kunywa chai tu
 
Back
Top Bottom