Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Ikiwa Elizabeth Michael (Lulu) aliyehukumiwa miaka miwili gerezani kwa kosa la kuua atakuwa amepewa msamaha wa Rais Siku ya muungano tarehe 26/04/2018 kwa robo ya kifungo chake kama alivyopewa mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (Sugu) basi atakuwa huru November mwaka huu.
Siku ya leo Joseph Mbilinyi (Mbunge) ameachiwa huru baada ya kuwa amepewa msamaha wa Rais kwa Robo ya kifungo chake, mashariti ya msamaha huo wa tarehe 26 April ni mtuhumiwa awe ametumikia robo ya kifungo chake baada ya kuwa amesamehewa 1/3 ya kifungo chake kama kawaida.
Lulu alihukumiwa miaka miwili gerezani Novemba 13 mwaka 2017 ambayo ni miezi 24. Ukitoa 1/3 anabaki na miezi 16 ya kukaa gerezani, mpaka Tarehe 26 April 2018 alikuwa ameshatumikia robo ya miezi 16 (kifungo chake), hivyo kama atakuwa ni mmoja wa wanufaika wa msamaha wa Rais akiwa amesamehewa 1/4 ya kifungo chake ambacho ni miezi 16, miezi anayotakiwa kukaa gerezani ni 12 tu ambayo inaisha Novemba 13 mwaka huu wa 2018
Take Note: Hii ni kama tu amepata msamaha wa Rais na si vinginevyo
UPDATES
Ameachiwa tarehe 12 May kwa amri ya mahakama atamalizia kifungo chake kwa kutumikia kifungo cha nje.
Msikilize N/Kamishina wa Magereza Tanzania
Siku ya leo Joseph Mbilinyi (Mbunge) ameachiwa huru baada ya kuwa amepewa msamaha wa Rais kwa Robo ya kifungo chake, mashariti ya msamaha huo wa tarehe 26 April ni mtuhumiwa awe ametumikia robo ya kifungo chake baada ya kuwa amesamehewa 1/3 ya kifungo chake kama kawaida.
Lulu alihukumiwa miaka miwili gerezani Novemba 13 mwaka 2017 ambayo ni miezi 24. Ukitoa 1/3 anabaki na miezi 16 ya kukaa gerezani, mpaka Tarehe 26 April 2018 alikuwa ameshatumikia robo ya miezi 16 (kifungo chake), hivyo kama atakuwa ni mmoja wa wanufaika wa msamaha wa Rais akiwa amesamehewa 1/4 ya kifungo chake ambacho ni miezi 16, miezi anayotakiwa kukaa gerezani ni 12 tu ambayo inaisha Novemba 13 mwaka huu wa 2018
Take Note: Hii ni kama tu amepata msamaha wa Rais na si vinginevyo
UPDATES
Ameachiwa tarehe 12 May kwa amri ya mahakama atamalizia kifungo chake kwa kutumikia kifungo cha nje.
Msikilize N/Kamishina wa Magereza Tanzania