Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
YANGA ATASHINDAHapo vip!!
Ndio jamaa huyo hapo
Hapo atambeba nani?
nyuma mwiko watanyooshwa pamoja na refa wao
Yaaaan hapooo tofauti kule 5 huku 11 itawaingia tuVyovyote vile ila Simba kupigwa mande kuko palepale, wakatambulishe dada zao huko
D2 vipi zilipatikana??Uko unaandika na unatembea, kwanini usikae kwanza?
Mimba iko pale pale tatizo tu atajifungua kawaida ama kwa operation
Ngoja tuoneVyovyote vile ila Simba kupigwa mande kuko palepale, wakatambulishe dada zao huko
Tunza akiba ya maneno..najua kwa simba hii hamna amani hapo utopoloni..Hii mechi hata akichezesha MO kama center referee,vibendera Mangungo na Try again wa mezani awe Ahmed Ally na kamishna awe Kajula na mtathmini wa waamuzi awe Julio,Yanga anashinda
Mkuu Simba ipi hiyo,umeiona wapi? Kama mnategemea kuwanga na mnahisi ni silaha yenu ya kuwasaidia sawa lakini kama mpira unachezwa kwenye principles zake huoni namna mnapata matokeo,hata wewe unaajikaza tu kulinda chama lakoTunza akiba ya maneno..najua kwa simba hii hamna amani hapo utopoloni..
Hunitoa kwny reli...kwa ss mnalazimisha mambo...nadhani umejionea mwenyewe vyuma..ww sema kesho mpira utaamua..Mkuu Simba ipi hiyo,umeiona wapi? Kama mnategemea kuwanga na mnahisi ni silaha yenu ya kuwasaidia sawa lakini kama mpira unachezwa kwenye principles zake huoni namna mnapata matokeo,hata wewe unaajikaza tu kulinda chama lako