Elon Musk ahofia kutimuliwa Marekani kama muhamiaji haramu

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.

Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
 
Hizo ni siasa mkuu,huyu jamaa ni very potential
 
Huyio hawawezi mtimu na hawana hiyo nguvu. Wanajua wakimtimua watapata hasara kiasi gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…