Elon Musk ahofia kutimuliwa Marekani kama muhamiaji haramu

Elon Musk ahofia kutimuliwa Marekani kama muhamiaji haramu

Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.

Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Thubutuuu..... hawawezi kuitupa hiyo almasi kirahisi hivyo usije ikaokotwa na mahasimu wao.
 
Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.

Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Huyo alishachukua uraia wa Marekani kitambo tu na sasa ana uraia wa nchi tatu. Hakuzamia kama navyovumishwa
 
Kumfukuza hawawezi, ila wanaweza kufanya biashara yake kuwa mufilisi.
Si unakumbuka Trump walivyomfanya na kodi za kufa mtu kule New York!
Trump hajawahi kufulisiwa,
Mhasibu wake mkuu Allen Weisselberg na mwanasheria wake pia Michael Cohen walikiri kuhusika kuchakachua hesabu za kampuni ya Trump kukwepa kodi.
 
Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.

Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Musk hawezi timuliwa U.S kamwe.

U.S ni nchi ya mabepari matajiri na ndio wanao amua mstakabali wa nchi hiyo wengine hawa wanasiasa na wananchi wa kawaida ni wapiga kelele tu.

Wananchi wa marekani hawana kauli mbele ya matajiri wa kiyahudi wanaoamua sera za nchi yao juu ya Israel[kibwagizo tu hiki jinsi marekani ilivyo]
 
Pamoja na kuwepo kwa sheria hizo kali za uhamiaji lakini US haiwezi kumfukuza nchi mtu adhimu na muhimu kama Elon hilo msahau Kumbukeni hata albert Enstein hakuwa mmarekani au mmesahau
 
Back
Top Bottom