Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Baba yake angezaa na mwanamke mweusi huko South Africa labda mtu tajiri duniani angekuwa mweusi.Mwafrica kutoka kwa madiba bomdeni huko..
Wanasema pata hela tujue tabia yako halisi.Elon bhana ni tajiri afu msela tu
Mungu nibariki na mimi nipate mahela mengi wakat huu,sio unapata hela ukiwa na 50+ unawaza ujinga ujinga tu muda wote na kunyanyasa watu
Thubutuuu..... hawawezi kuitupa hiyo almasi kirahisi hivyo usije ikaokotwa na mahasimu wao.Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.
Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Raia wa SA na Canada.Kwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
Elimu musk ni mlipa kodi mkubwa hawezi kufukuzwa hata iweje.Afrika Kusini, nchi baba ya Apartheid.
Mwanasiasa basically ni mtu wa nguvu ya hoja, mfukoni hana kitu.
Elon Musk amechezea uwanda wa wanasiasa, watamtahiri!
Huyo alishachukua uraia wa Marekani kitambo tu na sasa ana uraia wa nchi tatu. Hakuzamia kama navyovumishwaElon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.
Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Kumfukuza hawawezi, ila wanaweza kufanya biashara yake kuwa mufilisi.Elimu musk ni mlipa kodi mkubwa hawezi kufukuzwa hata iweje.
Trump hajawahi kufulisiwa,Kumfukuza hawawezi, ila wanaweza kufanya biashara yake kuwa mufilisi.
Si unakumbuka Trump walivyomfanya na kodi za kufa mtu kule New York!
Musk hawezi timuliwa U.S kamwe.Elon Musk aliingia Marekani kwa visa ya wanafunzi kwa ajali ya Masomo ya chuo kikuu, alipoingia tu chuo akaachana na masomo akaanza kufanya biashara zake mtaani bila kibali cha ukazi au cha kufanya kazi Marekani. Kwa sababu serikali ya Marekani ilikuwa haifuatilii sana wahamiaji haramu miaka ya 80 na 90 Musk hakuwahi pata kashikashi zozote za Uhamiaji na baadaye akaweza kujipatia uraia wa Marekani.
Sasa baada ya kuonekana anafanya propoganda mbaya sana na za chuki dhidi ya wahamiaji wa kila aina Marekani katika uchaguzi huu ili kumsaidia Trump kushinda baadhi ya watu wamekumbushia alipotoka ndipo akaanza kufura!
View attachment 3141314
Hakufilisiwa lakini alipigwa fines heavy!Trump hajawahi kufulisiwa,
Mhasibu wake mkuu Allen Weisselberg na mwanasheria wake pia Michael Cohen walikiri kuhusika kuchakachua hesabu za kampuni ya Trump kukwepa kodi.
Sauz AfricaKwani kiasili yeye ni raia wa nchi ipi?
Tena tajiri hadhi ya platinum.Unatimuaje tajiri wewe.
#1 ni nini Chief?Ni Myahudi aliyezaliwa Afrika Kusini.
Ila kwa kiwango cha mpunga anaomiliki hakuna wa kumtimua.
Kwa vitu muhimu zaidi duniani, mpunga ni namba 2
Hahaha,#1 ni nini Chief?
ile USA sio Tanganyika mzeeHawawezi