Yule Sio WassiraEllon asipofungwa brake atakuja liaibisha taifa teule.
Trump sasa itakuwa anamuonea aibu tu.
Unaonekana hujui kinachoendelea msome Malema.Unapigania""Watu Weusi Wawe Sawa Na Weupe""Wakati Unaelewa Kamwe Haiwezekani Tangu Na Tangu Kama Anajidhalilisha,,Aanze Kupigania Usawa Wa Watu Weusi Kwa Weusi Kwanza.
Hujui chochote…Hayo yote kisa kunyimw mahela au?
Kuna jamaa alisema masikini ukimsaidia weee ipo siku ataona kama haki yake kusaidiwa ukimuacha tu utakoma majungu yake
"Enyi watu! Hakika Mola wenu ni Mmoja, na baba yenu ni mmoja. Mwarabu hana ubora juu ya asiyekuwa Mwarabu, wala asiyekuwa Mwarabu hana ubora juu ya Mwarabu, wala mweupe hana ubora juu ya mweusi, wala mweusi hana ubora juu ya mweupe – isipokuwa kwa uchaji Mungu (taqwa).”Unapigania""Watu Weusi Wawe Sawa Na Weupe""Wakati Unaelewa Kamwe Haiwezekani Tangu Na Tangu Kama Anajidhalilisha,,Aanze Kupigania Usawa Wa Watu Weusi Kwa Weusi Kwanza.
Uyo mzungu alikuwa mbwiga miaka ya nyuma lkn awa jamaaa Wamewai Kudhibiti history ya Ulimwengu ivo wanajitaid kufuta maujinga yao ya zamani !! Kwenye historymalema awe taratibu
distance ya mzungu na mweusi inasikitisha
Weka picha yako nawewe tuone afya yako ipoje mkuuMalema mwenyewe sijui anaumwa? Mwili umeporomoka kweli kweli na sura Haina nuru
Weka picha yako nawewe tuone afya yako ipoje mkuu
Hapo sasa weusi kwa weusi ni tatizo kuliko hatari ya mtu mweupe kwa nweusiUnapigania""Watu Weusi Wawe Sawa Na Weupe""Wakati Unaelewa Kamwe Haiwezekani Tangu Na Tangu Kama Anajidhalilisha,,Aanze Kupigania Usawa Wa Watu Weusi Kwa Weusi Kwanza.