Elon Musk amerudi kuwa tajiri namba moja Duniani kwa mara nyingine tena

Elon Musk amerudi kuwa tajiri namba moja Duniani kwa mara nyingine tena

Wazungu wengi sana wana mdis Elon, sijui kwa nini! Ukiingia forum za wazungu utajionea hate zikimlenga huyu jamaa.
Sijui kwa sabsbu s
ametokea nchi za ulimwengu wa 3 na kwenda USA kuwazidi wao waliozaliwa first world.
 
Project za huyu mwamba ni za pesa ndefu mno siku zikikaa sawa kabisa hatakamatika huyu mwamba
Sure. Huyu jamaa ni level nyingine.

Juzi mkurugenzi wa zamani wa makampuni ya General Motors alikiri kwamba Elon ni species nyingine iliyoshuhshwa kuja kufundisha watu jinsi ya kuongoza kampuni.

Jamaa ni mkurugenzi wa kampuni karibu 8 na zote zinafanya vizuri. Balaa tupu.

Wakati watu wengine kampuni moja inawashinda kuongoza yeye anaongoza 8 na ziko bomba mbaya.

Elon ni kitu kingine.
 
Waziri wa habari wa Haiti nimemsikia akizungumzia kampuni ya Elon Musk haijakidhi vigezo vya kuwekeza huko Haiti kwenye mambo ya Internet...
 
Sure. Huyu jamaa ni level nyingine.

Juzi mkurugenzi wa zamani wa makampuni ya General Motors alikiri kwamba Elon ni species nyingine iliyoshuhshwa kuja kufundisha watu jinsi ya kuongoza kampuni.

Jamaa ni mkurugenzi wa kampuni karibu 8 na zote zinafanya vizuri. Balaa tupu.

Wakati watu wengine kampuni moja inawashinda kuongoza yeye anaongoza 8 na ziko bomba mbaya.

Elon ni kitu kingine.
Anaongoza kwenye mazingira mazuri. Halafu ana mainjinia wazur. Yani hadi kuna demu mkali kaajiriwa kuntawadha tu akinya. Kwa mantiki iyo Kwa nini kampuni zake zisifanye vizuri?
 
Back
Top Bottom