#COVID19 Elon Musk amesema hatachoma chanjo itakapotoka

#COVID19 Elon Musk amesema hatachoma chanjo itakapotoka

stakehigh

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2019
Posts
7,134
Reaction score
4,556
Even as the world eagerly waits for a Covid-19 vaccine, tech billionaire Elon Musk has said that he would not take one when it becomes available.

In an interview on the New York Times` podcast "Sway" published on Monday, the Tesla and SpaceX CEO slammed the widespread restrictions imposed across the country to deal with the pandemic.

When podcast host Kara Swisher asked "Will you get a vaccine? What will you do with your own family?" Musk said, "No, I`m not at risk for COVID. Nor are my kids."

Even as the world eagerly waits for a Covid-19 vaccine, tech billionaire Elon Musk has said that he would not take one when it becomes available.

In an interview on the New York Times` podcast "Sway" published on Monday, the Tesla and SpaceX CEO slammed the widespread restrictions imposed across the country to deal with the pandemic.

When podcast host Kara Swisher asked "Will you get a vaccine? What will you do with your own family?" Musk said, "No, I`m not at risk for COVID. Nor are my kids."

Source:
Elon Musk says he will refuse to take COVID-19 vaccine when it's out
 
Mnaropoka Tu kama mbuni waliokatwa vichwa hii ni "global reset" imepangwa na global elites tangia miaka ya themanini huko wewe huna thamani na chanjo utapigwa hata kwa lazima, whether you like it or not .Or sturve to death.

Nyie hamjui lolote kuhusu huu ulimwengu, nyie ni kula , kulala , kujisaidia , there are people who run this globe. Wengi wenu huku ni vilaza tu wapuuzi wafuata mkumbo.

Muwe hata mnafuatilia vipindi vya podcast, kuna channel inaitwa "The great reset ", search vipindi humo ndio utaelewa , sio kukaa mnaropoka ropoka Tu kama rais wenu sokwe huyo .

World Economic Forum na global elites ndio wanaendesha hii dunia and no body else , nyie ni vikaragosi Tu flani and you don't matter anymore.

The world can exist without you , bila chanjo you won't survive , Kwanza misaada itakatwa , biashara hazitafanyika , madawa , vyakula na kila bidhaa , hutauza wala kununua kitu chochote mpaka udungwe hii chanjo.

Na kama ukijidai kichwa maji , unapandikizwa ugonjwa mpya mithili ya Tauni mnatengwa na ulimwengu mzima mnafungiwa kila Kona mfe kama mende , mtoweke wote.

No body give a damn about you , you aren't that important to the global elites.

Screenshot_20210208-090511.jpg
 
Wasimfanyie vigisu kama Jack Ma tukampoteza katika list.
hawawez , harakati zake za utafiti wanazihitaji Sana.si ndo huyu anampango wa kuanzisha makazi ya binadamu sayari ya mars.na mpaka muda huu yuko bize kutengeneza kifaa kikubwa kitakacho beba cargo kupeleka sayari ya mars,kuandaa makazi huko.
 
Huyu amekataa hiyo Vaccine ni Billionaire,tena ni mmarekani,tena ni intelligent,hii ina maana kubwa ana ufahamu mkubwa wa madhara yaliomo...
Anaropoka Tu huyo hakuna cha billionaire wala kaka yake na billionaire hao wakina Schwabb na economic forum ndio wanaamua kila kitu behind the scene , huo ubilionaire wako wanaweza kuushusha within a day , muwe mnafuatilia Mambo nyie watu
 
hawawez , harakati zake za utafiti wanazihitaji Sana.si ndo huyu anampango wa kuanzisha makazi ya binadamu sayari ya mars.na mpaka muda huu yuko bize kutengeneza kifaa kikubwa kitakacho beba cargo kupeleka sayari ya mars,kuandaa makazi huko.
Huyo atapotezwa Tu , huwezi pambana na global cabal , no body can . Huyo Musk mwenyewe projects zake zote ziko funded na serikali ya Marekani na masoko ya hisa , huo ndio utajiri wake , hao Globalists Wana miliki serikali ya USA hao kina Biden na wenzake ni puppets Tu .

Hivi vitu si rahisi kama mnavoongea ongea Tu humu , we subiri uone balaa linalokuja. Someni hicho kitabu kilichoandikwa na Rai's WA World economic Forum , Klaus Schwab muone plan ya hii kitu ilivyo .View attachment schwab2020.pdf
 
Mnaropoka Tu kama mbuni waliokatwa vichwa hii ni "global reset" imepangwa na global elites tangia miaka ya themanini huko wewe Huna thamani na chanjo utapigwa hata kwa lazima , whether you like it or not .Or sturve to death ..
vijitu vyenye akili kupitiliza vijinga sana ,sasa who cares if we dont matter to the cockroch elite we dont not just care but not know ,the only way watawin ni
1.Iwapo mungu hayupo
2.Iwapo hatuna uchawi makini ( nakuapia tunao)
 
N

Nione nini sasa?!Kila mtu akatae hizo chanjo kwa utashi wake...hapana mambo ya kulazimishana.
Hakuna cha World Economic Forum wala Global elites, suala la consent ya chanjo litakua la kitaifa au la mtu mmoja mmoja.
Hakuna unachojua wewe , wewe upo kama mchanga wa Tu kwenye hii dunia no body gives a https://jamii.app/JFUserGuide about your feelings or existence .
 
vijitu vyenye akili kupitiliza vijinga sana ,sasa who cares if we dont matter to the cockroch elite we dont not just care but not know ,the only way watawin ni
1.Iwapo mungu hayupo
2.Iwapo hatuna uchawi makini ( nakuapia tunao)
This isnt a joke . Huyo Mungu mwenyewe umeletewa na hizo cabal , unamjua Mungu wewe ? .
You know nothing in this planet , your are just like a sand
 
Elon Musk anatengeneza maadui wengi. Mimi kila siku naendelea kutarajia atapunguzwa makeke kwa namna yoyote. Kwanza anaiweka katika risk Tesla na kampuni zake nyingine. Leo mara aje na Bitedance, kesho Facebook mara agombane na Jef Bezos, awashutumu washindani wake. Yeye ni kama Trump, bodi za wakurugenzi zilitakiwa kumpiga marufuku kuongea chochote in public na hata account zake asiruhusiwe.

Kasema mawazo yake ila tatizo kila anachogusa analeta impact. Majuzi kaisema Dogecoin ikapanda 50%.
 
This isnt a joke . Huyo Mungu mwenyewe umeletewa na hizo cabal , unamjua Mungu wewe ? .
You know nothing in this planet , your are just like a sand
Mungu simjui kwa kuhisi namjua sana ,tatizo yuko so silent huwezi muuliza nafanyaje kuzalisha umeme ila kwenye maisha yangu nimeitwa mchawi mara nyingi kwa kuinfluence mambo ,hizo ni vitu negative achana nazo
 
Na kama ukijidai kichwa maji , unapandikizwa ugonjwa mpya mithili ya Tauni mnatengwa na ulimwengu mzima mnafungiwa kila Kona mfe kama mende ,
mtoweke wote .

No body give a damn about you , you aren't that important to the global elites .
kumbe! sasa kwann watuletee hiyo tauni kama hatuna umuhimu kwao, acha kua mjinga we mzee
 
Mkuu umeongea kitu cha maana ila tu sisi tunadharau maana km hawa jamaa tunapokea misaada kibao kutoka kwao .Je wakataka kututenga tutataabika sana.Hata kama tunataka kujimwambafai tuwe na viwanda na wataalam wa kutosha ktk kila sekta.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Exactly , na hivyo viwanda utahitaji vipuri , yaani kuna watu hawaelewi kwamba tunaishi katika Karne ya ishirini na moja ambayo huwezi kuishi katika isolationism na ukasurvive , never . We are already integrated to the central global control , you can't escape this monster . You have to dance with the tune whether you like it or not .
 
kumbe! sasa kwann watuletee hiyo tauni kama hatuna umuhimu kwao, acha kua mjinga we mzee
Hivi vitu ni beyond your thinking capacity so chill and deal with your stuffs. Wenye akili wataelewa sio wewe.
 
Back
Top Bottom