#COVID19 Elon Musk amesema hatachoma chanjo itakapotoka

#COVID19 Elon Musk amesema hatachoma chanjo itakapotoka

Huyo hata akifa hana hasara 😂! Kashatengeneza utajiri wa kutisha ulimwenguni hamna asiyemjua.

Hana stress za ujenzi wala kulipa ada hata akifa watoto wake wataishi tu ki DoN!
Vipi ungekuwa na mkwanja kama Elon ? Gari yako ya kwanza pili na tatu zingekuwa zipi 😀😀
 
Even as the world eagerly waits for a Covid-19 vaccine, tech billionaire Elon Musk has said that he would not take one when it becomes available.

In an interview on the New York Times` podcast "Sway" published on Monday, the Tesla and SpaceX CEO slammed the widespread restrictions imposed across the country to deal with the pandemic.

When podcast host Kara Swisher asked "Will you get a vaccine? What will you do with your own family?" Musk said, "No, I`m not at risk for COVID. Nor are my kids."

Even as the world eagerly waits for a Covid-19 vaccine, tech billionaire Elon Musk has said that he would not take one when it becomes available.

In an interview on the New York Times` podcast "Sway" published on Monday, the Tesla and SpaceX CEO slammed the widespread restrictions imposed across the country to deal with the pandemic.

When podcast host Kara Swisher asked "Will you get a vaccine? What will you do with your own family?" Musk said, "No, I`m not at risk for COVID. Nor are my kids."

Source: Elon Musk says he will refuse to take COVID-19 vaccine when it's out

Huo ndio ukweli kwa maisha na mazingira yake hana riski hiyo. Sasa chanjo ya nini, je wewe na mimi tuko sawa nae? Tsatizo letu sisi ni masikini, nchi masikini na ujinga umetamalaki. Sasa wanasiasa uchwara ndio wanatumalizia hapo, kujidai wameweza kuondoa Corona kwa maombi na nyungu. Very stupid.
 
Huo ndio ukweli kwa maisha na mazingira yake hana riski hiyo. Sasa chanjo ya nini, je wewe na mimi tuko sawa nae? Tsatizo letu sisi ni masikini, nchi masikini na ujinga umetamalaki. Sasa wanasiasa uchwara ndio wanatumalizia hapo, kujidai wameweza kuondoa Corona kwa maombi na nyungu. Very stupid.
Huko kwa matajiri hadi viongozi wao wanaugua ........shida kwani ni umasikini? We kama umedata kwa hio chanjo kata tiketi nenda hata hapo kenya tu ukadungwe uendelee na maisha yako ila ukingojea chanjo bongo ni sawa na kungoja meli airport.......povu jema
 
HAUJIELEWI
Mnaropoka Tu kama mbuni waliokatwa vichwa hii ni "global reset" imepangwa na global elites tangia miaka ya themanini huko wewe huna thamani na chanjo utapigwa hata kwa lazima, whether you like it or not .Or sturve to death.

Nyie hamjui lolote kuhusu huu ulimwengu, nyie ni kula , kulala , kujisaidia , there are people who run this globe. Wengi wenu huku ni vilaza tu wapuuzi wafuata mkumbo.

Muwe hata mnafuatilia vipindi vya podcast, kuna channel inaitwa "The great reset ", search vipindi humo ndio utaelewa , sio kukaa mnaropoka ropoka Tu kama rais wenu sokwe huyo .

World Economic Forum na global elites ndio wanaendesha hii dunia and no body else , nyie ni vikaragosi Tu flani and you don't matter anymore.

The world can exist without you , bila chanjo you won't survive , Kwanza misaada itakatwa , biashara hazitafanyika , madawa , vyakula na kila bidhaa , hutauza wala kununua kitu chochote mpaka udungwe hii chanjo.

Na kama ukijidai kichwa maji , unapandikizwa ugonjwa mpya mithili ya Tauni mnatengwa na ulimwengu mzima mnafungiwa kila Kona mfe kama mende , mtoweke wote.

No body give a damn about you , you aren't that important to the global elites.

View attachment 1697309
 
Huo ndio ukweli kwa maisha na mazingira yake hana riski hiyo. Sasa chanjo ya nini, je wewe na mimi tuko sawa nae? Tsatizo letu sisi ni masikini, nchi masikini na ujinga umetamalaki. Sasa wanasiasa uchwara ndio wanatumalizia hapo, kujidai wameweza kuondoa Corona kwa maombi na nyungu. Very stupid.
'Elon Musk decided to homeschool his 5 children. He's started an innovative private school for his 5 kids and 15 others that has no grades and takes an unschooling approach to education.'

Eti mtu wa dizaini hio ndio sisi tunajifanya kumuiga?Maisha yake na sisi wabongo ni mbingu na ardhi.
 
Huyo atapotezwa Tu , huwezi pambana na global cabal , no body can . Huyo Musk mwenyewe projects zake zote ziko funded na serikali ya Marekani na masoko ya hisa , huo ndio utajiri wake , hao Globalists Wana miliki serikali ya USA hao kina Biden na wenzake ni puppets Tu .

Hivi vitu si rahisi kama mnavoongea ongea Tu humu , we subiri uone balaa linalokuja. Someni hicho kitabu kilichoandikwa na Rai's WA World economic Forum , Klaus Schwab muone plan ya hii kitu ilivyo .View attachment 1697331
Hao globalists ndo akina nani mkuu. Hebu nipe elimu kidogo
 
Mnaropoka Tu kama mbuni waliokatwa vichwa hii ni "global reset" imepangwa na global elites tangia miaka ya themanini huko wewe huna thamani na chanjo utapigwa hata kwa lazima, whether you like it or not .Or sturve to death.

Nyie hamjui lolote kuhusu huu ulimwengu, nyie ni kula , kulala , kujisaidia , there are people who run this globe. Wengi wenu huku ni vilaza tu wapuuzi wafuata mkumbo.

Muwe hata mnafuatilia vipindi vya podcast, kuna channel inaitwa "The great reset ", search vipindi humo ndio utaelewa , sio kukaa mnaropoka ropoka Tu kama rais wenu sokwe huyo .

World Economic Forum na global elites ndio wanaendesha hii dunia and no body else , nyie ni vikaragosi Tu flani and you don't matter anymore.

The world can exist without you , bila chanjo you won't survive , Kwanza misaada itakatwa , biashara hazitafanyika , madawa , vyakula na kila bidhaa , hutauza wala kununua kitu chochote mpaka udungwe hii chanjo.

Na kama ukijidai kichwa maji , unapandikizwa ugonjwa mpya mithili ya Tauni mnatengwa na ulimwengu mzima mnafungiwa kila Kona mfe kama mende , mtoweke wote.

No body give a damn about you , you aren't that important to the global elites.

View attachment 1697309

Usitufokeeeeee
 
Mbona unatumia nguvu nyingi wakati wewe mwenyewe ni kenge kama kenge wengineo. Yani kusikiliza podcast tu unajikuta much know na kutishia watu eti nyie, nyie, nyie kwani we una nini na una maajabu gani. Podcast tu ushaanza kuvimba kichwa vipi PhD holders na Profs tuwatengenezee barabara zao pekee.

Kaka unatumia wine gani?
 
'Elon Musk decided to homeschool his 5 children. He's started an innovative private school for his 5 kids and 15 others that has no grades and takes an unschooling approach to education.'

Eti mtu wa dizaini hio ndio sisi tunajifanya kumuiga?Maisha yake na sisi wabongo ni mbingu na ardhi.
Normally maisha katika dunia hii ni kuigana.

IGA chochote unachokiona kizuri toka kwa mwenzako, ukishindwa wewe shawishi wanao waige...hayo ndio maendeleo.
 
Huko kwa matajiri hadi viongozi wao wanaugua ........shida kwani ni umasikini? We kama umedata kwa hio chanjo kata tiketi nenda hata hapo kenya tu ukadungwe uendelee na maisha yako ila ukingojea chanjo bongo ni sawa na kungoja meli airport.......povu jema

Ni swala la muda tu....
 
Elon sio mnafiki, na ni mtu anaeishi katika anacho amini
Kutokuwa mnafiki sio tatizo na kuishi katika anachoamini sio tatizo. Tatizo ni pale CEO wa Tesla, Neuralink, The Boring Company na SpaceX anapoitwa na kuanza kufunguka vitu sensitive.

Wanahisa wa Tesla walimpeleka mahakamani last year na kuna conditions fulani alipewa kuhusu tweeting. Mtu alitweet mpaka akasababisha crash ya hisa za kampuni yake. Yeye ni taasisi, pale haitwi kama raia kutoka mtaani mbona hizo show hawaiti wapishi wa MacDonald's.

Ukishaongoza taasisi unakuwa umefungiwa na uhuru. Imagine Magufuli asimame mbele aseme anawachukia Wachaga hiyo reaction ilivyo. Ila mama ntilie akisema hivo hivo atapuuzwa.
 
Back
Top Bottom