#COVID19 Elon Musk amesema hatachoma chanjo itakapotoka

Hivi vitu ni beyond your thinking capacity so chill and deal with your stuffs . Wenye akili wataelewa sio wewe
 
Hahaha anavimba sana wkt ht hiyo podcast kawekewa.
 
He has the best health access in the World no rush
 
Anaonyesha nasaba za alikozaliwa🙂
 

spacex is a private company, wanajifund wenyewe
 

without africa the world is doomed! hujui tu wanachukua material kiasi gan uku
 
Punguza hasira lete hoja zenye ushahidi

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
without africa the world is doomed! hujui tu wanachukua material kiasi gan uku
Sio kweli mkuu maana wazungu si kwamba hawana material ktk nchi zao sema hawayatumiii wanatumia yetu yao wameweka reserve siku yakiisha yetu wanaanza kutumia yao.Ni akili kubwa sana wanatumia hawa watu.

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Huyo hata akifa hana hasara 😂! Kashatengeneza utajiri wa kutisha ulimwenguni hamna asiyemjua.

Hana stress za ujenzi wala kulipa ada hata akifa watoto wake wataishi tu ki DoN!
 
Kwa hiyo unashauri tukubali kama mambuzi tu? Naona mapovu tu.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mawazo ya kikondooo........watch and Learn mambo si kukariri............hao ma elites wenu sasa ndo watakua reset mpaka washangae.
 
Elon sio mnafiki, na ni mtu anaeishi katika anacho amini.
 
sina budi kusema wewe ni matako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…