Elon Musk ana gundu gani na Tanzania?

Elon Musk ana gundu gani na Tanzania?

Wiki imeanza kwa raia wenzetu mbalimbali katika hii nchi kwenye nafasi za kisiasa za chama tawala na wale wa upande kidini kuitaka serikali ifungie mtandao wa Twitter/X

Pia itakumbukwa Starlink kampuni ya mtandao ya Elon Musk imeshindwa kupata kibali cha kufanya kazi Tanzania ikesemwa na Nape kwamba wameshindwa kukidhi vigezo vya kupata kibali.

Nafikiri pia hakuna hata gari moja la Tesla bongo, pia PayPal kampuni yake nyingine aliyowahi kuwa muwekezaji wake nayo nasikia haiwezi kufanya kazi zake kiutimilifu Tanzania.

Huyu tajiri namba moja machachari sana ni kama ana gundu na Tanzania. Hii inaweza pia kuwa fursa kwa wabongo watakaoweza kumnyooshea mambo yake nchini.
Atoe hela aweke wanasiasa watakaomuunga mkono kwa kila jambo. Nazadhani ndicho wanachotaka akifanye.
 
Wiki imeanza kwa raia wenzetu mbalimbali katika hii nchi kwenye nafasi za kisiasa za chama tawala na wale wa upande kidini kuitaka serikali ifungie mtandao wa Twitter/X
Usikae serious kusikiliza taka ngumu hizo!
 
Kampuni yake imetaka kuwekeza Dunia nzima kwahio kwa mantiki yako anajua nchi nchi zote Dunaini
Haiwezi kuwa at once,ni nchi baada ya nchi,by the way lazima ajadili na wakurugenzi sehemu pesa yake inapotaka kuwekwa
 
Haiwezi kuwa at once,ni nchi baada ya nchi,by the way lazima ajadili na wakurugenzi sehemu pesa yake inapotaka kuwekwa
Unajua kampuni inavyoendeshwa wakati wa ishu za mazungumzo ulimuona Elon kwenye picha, Meta walivyotembea TZ ulimuona Zuck kwenye picha.

Wanao negotiate na ku-push kilakitu ni watu watching ya Musk yeye katulia tu.
 
Wiki imeanza kwa raia wenzetu mbalimbali katika hii nchi kwenye nafasi za kisiasa za chama tawala na wale wa upande kidini kuitaka serikali ifungie mtandao wa Twitter/X

Pia itakumbukwa Starlink kampuni ya mtandao ya Elon Musk imeshindwa kupata kibali cha kufanya kazi Tanzania ikesemwa na Nape kwamba wameshindwa kukidhi vigezo vya kupata kibali.

Nafikiri pia hakuna hata gari moja la Tesla bongo, pia PayPal kampuni yake nyingine aliyowahi kuwa muwekezaji wake nayo nasikia haiwezi kufanya kazi zake kiutimilifu Tanzania.

Huyu tajiri namba moja machachari sana ni kama ana gundu na Tanzania. Hii inaweza pia kuwa fursa kwa wabongo watakaoweza kumnyooshea mambo yake nchini.
Hataki kutoa rushwa kwa maccm ili awekeze nchini

Maccm yanamkazia tajijiri wa dunia
 
Kuna mtu mmoja kahamia huko wanahaha.Hivi kweli mtu mmoja anakufanya unafunga mtandao mnamprove kuwa amewazidi nguvu.
 
Back
Top Bottom