The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Tajiri namba moja Duniani bwana Elon Musk anatabiriwa kua Trilionea wa kwanza Duniani mwaka 2027 kama utajiri wake utaendelea kukua kwa mwenendo unaokua kwa sasa.
Elon Musk utajiri wake unaongezeka kwa 110% kwa mwaka hivyo kama utakua hivyo ndani ya miaka 3 ijayo Elon atafikia hadhi ya kua Trilionea wa kwanza Duniani.
Trilioni 1 ya Marekani ni sawa na Trilioni 280 za Tanzania, sawa na bajeti ya Tanzania ya miaka 56.
Wengine waootarajiwa kua Trilionea ni kama ifuatavyo.
1. Elon 2027-110%
2. Adan 2028-123%.
3. Huang-2028
4. Prajogo-2028
5. Arnault-2030
6. Zuckerberg -2030
7. The Evil Genius -2030(Joking)
Soma hapa chini.
Elon Musk on pace to become world’s first trillionaire by 2027, report says Elon Musk on pace to become world’s first trillionaire by 2027, report says
Elon Musk utajiri wake unaongezeka kwa 110% kwa mwaka hivyo kama utakua hivyo ndani ya miaka 3 ijayo Elon atafikia hadhi ya kua Trilionea wa kwanza Duniani.
Trilioni 1 ya Marekani ni sawa na Trilioni 280 za Tanzania, sawa na bajeti ya Tanzania ya miaka 56.
Wengine waootarajiwa kua Trilionea ni kama ifuatavyo.
1. Elon 2027-110%
2. Adan 2028-123%.
3. Huang-2028
4. Prajogo-2028
5. Arnault-2030
6. Zuckerberg -2030
7. The Evil Genius -2030(Joking)
Soma hapa chini.
Elon Musk on pace to become world’s first trillionaire by 2027, report says Elon Musk on pace to become world’s first trillionaire by 2027, report says