Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
110% ya 250b mwakani itakuwa almost 600b,then 600b ya mwaka keshokutwa itakuwa almost 1+trillion sasa si tayari hapo mzee.?hiyo 110% ni wastani wa ongezeko la utajari wake. Wastani.
ni ngumu sana kuwa trilionea haraka hivyo kwasababu performance ya makampuni haitabiriki
250b kwenda 1t itabidi aongeze 750b ndani ya miaka 3, uongo