Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #21
Hata hivyo hizo sera zao zimeshindwa kufanya kazi, cuba iko wapi? Hata huyo maduro ni suala la muda tu, kwani misimamo yake sio kama ile ya mwanzo anachukua madaraka,
Wasingekuwa na mafuta wangeishi kaa amani kama Mongolia. Kosa lao ni kuwa na mafuta na kuwa karibu na USA.
Poleni sana Venezuela
Dollar value inafungamanishwa na Mafuta so inabidi mafuta mengi sana yawe chini ya milki ya USA ili dola yao isitetereke.Hilo hasa
Na watafanyaje? Wanataka wafanye juu chini wamtoe Maduro wamweke González waanze kuzitafuna natural resources za Venezuela
Venezuela Maduro anatamba nini??? Ni aibu watu milioni sita wamekimbia nchi na wengi wapo Miami sababu Tu za Sera mbovu za Maduro? Maduro ana tofauti gani na Mugabe? Ni mambo ya aibu tu
Maduro anA lipi? Ukiona 6 milioni citizens wamekimbia nchi ndo utamsifu Maduro? Hiyo ndo akili? Akili ganiMaduro ana sera mbovu kama zipi?
Maduro anA lipi? Ukiona 6 milioni citizens wamekimbia nchi ndo utamsifu Maduro? Hiyo ndo akili? Akili gani
Tatizo US ni mbaya na ni mziri at the same time.Dunia inavoenda kila mtu atajua ubaya wa US na kuacha ushabik mandazi
Tatizo US ni mbaya na ni mziri at the same time.
Nchi za kikomunisti zina viongozi kandamizi sana. Hakuna uhuru huko full manyanyaso.Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani.
Viongozi wa mataifa ya Magharibi wameonyesha kutofurahishwa na matokeo hayo. Huku vyombo vya habari vya mataifa hayo vikieneza propaganda na habari za uongo.
Lakini pia bilionea Elon Musk amekuwa mstari wa mbele kupitia tweets kwenye akaunti yake ya X akimkosoa vikali Maduro kuwa ni dictator na ameiba kura.
View attachment 3057263
Hizi ni baadhi ya tweets za Elon Musk dhidi ya Maduro.
Elon Musk amefikia hatua ya kutaka kutokee mapinduzi ya kijeshi ili Maduro apinduliwe!
Swali ni kwa nini Elon Musk amekuwa akipigania hilo?
Je, ni kwa sababu ya utajiri wa madini, mafuta na gas ulio katika nchi hiyo?
View attachment 3057250
Hazina ya utajiri wa madini, mafuta na gas wa taifa la Venezuela unakadiriwa kuwa ni $14 trillion.
Wakati wa utawala wa Hugo Chávez mwaka 2009 iligunduliwa utajiri wa madini ya coltan. Madini hayo pamoja na lithium yanatumika kwenye kutengeneza bidhaa nyingi za high tech kama vile:
Electric car batteries (EV batteries) Rockets Jet engines- Electronic devices (computer, mobilephones etc)
Je, Elon Musk anataka mapinduzi hayo yatokee ili ashirikiane na taifa lake dhalimu Marekani kuiba madini ya coltan na lithium kwa ajili ya uwekezaji aliofanya kwenye EVs na SpaceX? We never know!
Inajulikana kuwa Elon Musk ni Pro-Israel mkubwa sana na ni rafiki wa karibu wa Netanyahu.
Na hivi karibuni wakati wa uchaguzi kauli za Maduro na moja ya mwanachama machachari mpinzani María Machado zilionyesha tofauti zao za kisera kati ya chama tawala na chama kikuu cha upinzani inapohusu Palestina na Israel.
"Long live free Palestine!"
Nicolás Maduro"Our struggle is Israel's struggle"
María Machado
Je, huenda hii ni sababu nyingine inayofanya Elon awe na vita kali dhidi ya Maduro?
Ikumbukwe kuwa Marekani kwa kutumia CIA imeshagharamia majaribio kadhaa ya kimapinduzi nchini Venezuela lakini ikashindwa kwa aibu.
Hii ni historia fupi ya mapinduzi ya kijeshi yaliyowahi kufanywa Latin America kukiwa na mkono wa Marekani:
View attachment 3057264
Brazili: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1964 yaliyompindua Rais João Goulart na kuweka udikteta wa kijeshi wa mrengo wa kulia. Bolivia: CIA ilihusika katika mapinduzi mwaka 1971 ambayo yalimuondoa madarakani Rais Juan José Torres. Chile: CIA ilishiriki katika mapinduzi ya 1973 yaliyompindua Rais Salvador Allende. Argentina: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1976 ambayo yaliondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia na kuanzisha udikteta wa kikatili wa kijeshi. Ecuador: CIA ilifanya operesheni za siri nchini humo kati ya 1960 na 1963. Panama: CIA iliunga mkono uvamizi wa 1989 ambao ulimpindua Jenerali Manuel Noriega. Haiti: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1991 yaliyompindua Rais Jean-Bertrand Aristide. Venezuela: CIA ilihusika katika jaribio la mapinduzi ya 2002 dhidi ya Rais Hugo Chávez.Wavenezuela wenyewe ndio wana haki ya kuamua nani awe kiongozi wao na wala sio mataifa ya Magharibi.
Nchi za kikomunisti zina viongozi kandamizi sana. Hakuna uhuru huko full manyanyaso.
Venezuela ni sawa na Tanzania ya CCM
Nchi za kikomunisti zina viongozi kandamizi sana. Hakuna uhuru huko full manyanyaso.
Venezuela ni sawa na Tanzania ya CCM
Like Mr. Musk, I think that the old, mediocre generation needs to be replaced, but I have included some East African nations in my list that also require political change.Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani.
Viongozi wa mataifa ya Magharibi wameonyesha kutofurahishwa na matokeo hayo. Huku vyombo vya habari vya mataifa hayo vikieneza propaganda na habari za uongo.
Lakini pia bilionea Elon Musk amekuwa mstari wa mbele kupitia tweets kwenye akaunti yake ya X akimkosoa vikali Maduro kuwa ni dictator na ameiba kura.
View attachment 3057263
Hizi ni baadhi ya tweets za Elon Musk dhidi ya Maduro.
Elon Musk amefikia hatua ya kutaka kutokee mapinduzi ya kijeshi ili Maduro apinduliwe!
Swali ni kwa nini Elon Musk amekuwa akipigania hilo?
Je, ni kwa sababu ya utajiri wa madini, mafuta na gas ulio katika nchi hiyo?
View attachment 3057250
Hazina ya utajiri wa madini, mafuta na gas wa taifa la Venezuela unakadiriwa kuwa ni $14 trillion.
Wakati wa utawala wa Hugo Chávez mwaka 2009 iligunduliwa utajiri wa madini ya coltan. Madini hayo pamoja na lithium yanatumika kwenye kutengeneza bidhaa nyingi za high tech kama vile:
Electric car batteries (EV batteries) Rockets Jet engines- Electronic devices (computer, mobilephones etc)
Je, Elon Musk anataka mapinduzi hayo yatokee ili ashirikiane na taifa lake dhalimu Marekani kuiba madini ya coltan na lithium kwa ajili ya uwekezaji aliofanya kwenye EVs na SpaceX? We never know!
Inajulikana kuwa Elon Musk ni Pro-Israel mkubwa sana na ni rafiki wa karibu wa Netanyahu.
Na hivi karibuni wakati wa uchaguzi kauli za Maduro na moja ya mwanachama machachari mpinzani María Machado zilionyesha tofauti zao za kisera kati ya chama tawala na chama kikuu cha upinzani inapohusu Palestina na Israel.
"Long live free Palestine!"
Nicolás Maduro"Our struggle is Israel's struggle"
María Machado
Je, huenda hii ni sababu nyingine inayofanya Elon awe na vita kali dhidi ya Maduro?
Ikumbukwe kuwa Marekani kwa kutumia CIA imeshagharamia majaribio kadhaa ya kimapinduzi nchini Venezuela lakini ikashindwa kwa aibu.
Hii ni historia fupi ya mapinduzi ya kijeshi yaliyowahi kufanywa Latin America kukiwa na mkono wa Marekani:
View attachment 3057264
Brazili: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1964 yaliyompindua Rais João Goulart na kuweka udikteta wa kijeshi wa mrengo wa kulia. Bolivia: CIA ilihusika katika mapinduzi mwaka 1971 ambayo yalimuondoa madarakani Rais Juan José Torres. Chile: CIA ilishiriki katika mapinduzi ya 1973 yaliyompindua Rais Salvador Allende. Argentina: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1976 ambayo yaliondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia na kuanzisha udikteta wa kikatili wa kijeshi. Ecuador: CIA ilifanya operesheni za siri nchini humo kati ya 1960 na 1963. Panama: CIA iliunga mkono uvamizi wa 1989 ambao ulimpindua Jenerali Manuel Noriega. Haiti: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1991 yaliyompindua Rais Jean-Bertrand Aristide. Venezuela: CIA ilihusika katika jaribio la mapinduzi ya 2002 dhidi ya Rais Hugo Chávez.Wavenezuela wenyewe ndio wana haki ya kuamua nani awe kiongozi wao na wala sio mataifa ya Magharibi.
Like Mr. Musk, I think that the old, mediocre generation needs to be replaced, but I have included some East African nations in my list that also require political change.
Absolutely.Do you support colour revolution attempts organized and run by USA in Venezuela?
Absolutely.
Even if they planned a comparable event in my country, I would fully support them.
With no shadow of doubt it is more than right, If we have leaders who misbehave and cannot be held accountable by their citizens, it is very very prudent for powerful nations like the US to intervene and bring back order.Is it right for the US to intervene internal affairs in other sovereign states and society and decide who should be their leaders?
Is it right for the US to intervene internal affairs in other sovereign states and society and decide who should be their leaders?