Elon Musk anaunga mkono sana mapinduzi ya kijeshi yatokee Venezuela. Kuna siri gani nyuma ya hili?

Elon Musk anaunga mkono sana mapinduzi ya kijeshi yatokee Venezuela. Kuna siri gani nyuma ya hili?

Hata hivyo hizo sera zao zimeshindwa kufanya kazi, cuba iko wapi? Hata huyo maduro ni suala la muda tu, kwani misimamo yake sio kama ile ya mwanzo anachukua madaraka,
Sera kama zipi kwa mfano?
 
Wasingekuwa na mafuta wangeishi kaa amani kama Mongolia. Kosa lao ni kuwa na mafuta na kuwa karibu na USA.
Poleni sana Venezuela
Hilo hasa

Na watafanyaje? Wanataka wafanye juu chini wamtoe Maduro wamweke González waanze kuzitafuna natural resources za Venezuela
 
Hilo hasa

Na watafanyaje? Wanataka wafanye juu chini wamtoe Maduro wamweke González waanze kuzitafuna natural resources za Venezuela
Dollar value inafungamanishwa na Mafuta so inabidi mafuta mengi sana yawe chini ya milki ya USA ili dola yao isitetereke.

Mafuta kuwa chini ya uthibiti wa watu wengine wasio rafiki na USA inaweza sababisha yasiuzwe kwa dola na hivyo kuleta athari kwa thamani ya US dollar
 
Venezuela Maduro anatamba nini??? Ni aibu watu milioni sita wamekimbia nchi na wengi wapo Miami sababu Tu za Sera mbovu za Maduro? Maduro ana tofauti gani na Mugabe? Ni mambo ya aibu tu
 
Venezuela Maduro anatamba nini??? Ni aibu watu milioni sita wamekimbia nchi na wengi wapo Miami sababu Tu za Sera mbovu za Maduro? Maduro ana tofauti gani na Mugabe? Ni mambo ya aibu tu
Maduro ana sera mbovu kama zipi?
 
Maduro anA lipi? Ukiona 6 milioni citizens wamekimbia nchi ndo utamsifu Maduro? Hiyo ndo akili? Akili gani
Nilishalieleza hili kwenye message # 8

Lakini acha nilirudie tena kwa mapana na marefu.

Marekani walijaribu mara kadhaa kutumia CIA ili kuupindua utawala wa Maduro lakini wakashindwa na hawakuanza kwa Maduro tangu kipindi cha Chávez.

Baada ya mapinduzi kushindwa wakahamia kwenye vita vya kiuchumi.

Hii ilikuwa ni kipindi Obama akiwa raisi wa Marekani.

Sasa wangeanzaje kuiwekea Venezuela vikwazo?

Ikabidi watafute sababu za uongo:
  • Kwamba utawala wa Maduro unakandamiza demokrasia na lawama nyingine kibao kama unavyoijua Marekani kwenye figisu.
  • Serikali ya Marekani ikatangaza State of Emergency dhidi ya Venezuela, wakidai taifa hilo ni tishio kwa usalama wa Marekani. Ukisikia Marekani wanasema hivyo ujue hapo kinachofuata ni vikwazo vya kiuchumi walifanya hivyo kwa Iran na Syria pia.
  • Walianza kwa kutaifisha mali za viongozi wa Venezuela ambazo zilikuwa Marekani na Ulaya na hata baadhi ya viongozi wa Venezuela hawakuruhusiwa kuingia Marekani.
  • Hawakuishia tu hapo wakaweka vikwazo vikali vya kiuchumi ili kuigombanisha serikali na wananchi wa Venezuela. Kwa sababu walijua njaa ikiwa kali wananchi watafikiria kuipindua serikali.

Maana walijua kwenye vikwazo lazima hali mbaya ya kiuchumi itokee na kama ujuavyo uchumi wa Venezuela unategemea hasa exportation ya mafuta.
  • Vikwazo hivyo viliiondoa Venezuela katika mfumo wa biashara ya kimataifa

  • Venezuela ikaondewa katika nchi ambazo zingeweza kupata mikopo ya kimataifa kama ya IMF na WB
  • Huku Marekani ikitishia taasisi yoyote inayofanya biashara na makampuni ya Venezuela itawekewa vikwazo au kama ni kiongozi wa taasisi kifungo cha muda mrefu gerezani.

Matokeo yakawaje?
  1. Sekta ya mafuta ya Venezuela iliporomoka sana.
  2. Mapato ya nchi yalipungua kwa 99%
  3. Taifa la Venezuela likapata changamoto ya kuweza kununua bidhaa muhimu kama chakula, madawa n.k.
  4. Mfumuko wa bei ukawa mkubwa sana.

Kama ulivyosema hali hiyo ngumu ya maisha iliyosababishwa na vikwazo vya uchumi kutoka kwa Marekani ikafanya wananchi karibu milioni 7 kuhama nchi yao.

Baada ya Obama akaja Trump na Biden nao hawakuondoa vikwazo, wameendeleza State of Emergency iliyoachwa na Obama.

Ila Maduro kapambana angalau kwa sasa inflation imepungua kwa kiwango kikubwa sana.

Venezuela imekuwa ikiuza mafuta lakini kwa asilimia kubwa ni kwenye black market kwa China kwa sababu hairuhusiwi kutumia mfumo wa SWIFT ambao upo controlled na taasisi za kifedha za Marekani.

Marekani ni taifa la hovyo sana hapa duniani.
 
Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani.

Viongozi wa mataifa ya Magharibi wameonyesha kutofurahishwa na matokeo hayo. Huku vyombo vya habari vya mataifa hayo vikieneza propaganda na habari za uongo.

Lakini pia bilionea Elon Musk amekuwa mstari wa mbele kupitia tweets kwenye akaunti yake ya X akimkosoa vikali Maduro kuwa ni dictator na ameiba kura.
View attachment 3057263

Hizi ni baadhi ya tweets za Elon Musk dhidi ya Maduro.


Elon Musk amefikia hatua ya kutaka kutokee mapinduzi ya kijeshi ili Maduro apinduliwe!

Swali ni kwa nini Elon Musk amekuwa akipigania hilo?

Je, ni kwa sababu ya utajiri wa madini, mafuta na gas ulio katika nchi hiyo?


View attachment 3057250
Hazina ya utajiri wa madini, mafuta na gas wa taifa la Venezuela unakadiriwa kuwa ni $14 trillion.


Wakati wa utawala wa Hugo Chávez mwaka 2009 iligunduliwa utajiri wa madini ya coltan. Madini hayo pamoja na lithium yanatumika kwenye kutengeneza bidhaa nyingi za high tech kama vile:
  • Electric car batteries (EV batteries)​
  • Rockets​
  • Jet engines​
  • Electronic devices (computer, mobilephones etc)
Je, Elon Musk anataka mapinduzi hayo yatokee ili ashirikiane na taifa lake dhalimu Marekani kuiba madini ya coltan na lithium kwa ajili ya uwekezaji aliofanya kwenye EVs na SpaceX? We never know!



Inajulikana kuwa Elon Musk ni Pro-Israel mkubwa sana na ni rafiki wa karibu wa Netanyahu.

Na hivi karibuni wakati wa uchaguzi kauli za Maduro na moja ya mwanachama machachari mpinzani María Machado zilionyesha tofauti zao za kisera kati ya chama tawala na chama kikuu cha upinzani inapohusu Palestina na Israel.

"Long live free Palestine!"
Nicolás Maduro
"Our struggle is Israel's struggle"
María Machado

Je, huenda hii ni sababu nyingine inayofanya Elon awe na vita kali dhidi ya Maduro?


Ikumbukwe kuwa Marekani kwa kutumia CIA imeshagharamia majaribio kadhaa ya kimapinduzi nchini Venezuela lakini ikashindwa kwa aibu.

Hii ni historia fupi ya mapinduzi ya kijeshi yaliyowahi kufanywa Latin America kukiwa na mkono wa Marekani:


View attachment 3057264
  • Brazili: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1964 yaliyompindua Rais João Goulart na kuweka udikteta wa kijeshi wa mrengo wa kulia.​
  • Bolivia: CIA ilihusika katika mapinduzi mwaka 1971 ambayo yalimuondoa madarakani Rais Juan José Torres.​
  • Chile: CIA ilishiriki katika mapinduzi ya 1973 yaliyompindua Rais Salvador Allende.​
  • Argentina: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1976 ambayo yaliondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia na kuanzisha udikteta wa kikatili wa kijeshi.​
  • Ecuador: CIA ilifanya operesheni za siri nchini humo kati ya 1960 na 1963.​
  • Panama: CIA iliunga mkono uvamizi wa 1989 ambao ulimpindua Jenerali Manuel Noriega.​
  • Haiti: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1991 yaliyompindua Rais Jean-Bertrand Aristide.​
  • Venezuela: CIA ilihusika katika jaribio la mapinduzi ya 2002 dhidi ya Rais Hugo Chávez.​
Wavenezuela wenyewe ndio wana haki ya kuamua nani awe kiongozi wao na wala sio mataifa ya Magharibi.
Nchi za kikomunisti zina viongozi kandamizi sana. Hakuna uhuru huko full manyanyaso.

Venezuela ni sawa na Tanzania ya CCM
 
Nchi za kikomunisti zina viongozi kandamizi sana. Hakuna uhuru huko full manyanyaso.

Venezuela ni sawa na Tanzania ya CCM
Ila Marekani ndio ina uhuru wa kutangaza mshindi wa uchaguzi wa Venezuela si ndio?

Blinken ana mamlaka gani ya kusema González ni mshindi badala ya Maduro kama alivyoandika kwenye huu waraka?

20240802_063749.jpg
 
BREAKING: Venezuela inasema imezuia jaribio la mapinduzi lililoungwa mkono na Marekani na Spain, na kukamata silaha 400 za Marekani, na kuwakamata mamluki 14, akiwemo afisa wa kijeshi wa Marekani na raia 2 wa Hispania.
 
Jana matokeo ya uchaguzi yalipotoka ilitangazwa kuwa Nicolás Maduro ameshinda tena kiti cha uraisi nchini Venezuela. Akimshinda mpinzani wake Edmundo González ambaye anaungwa mkono na Marekani.

Viongozi wa mataifa ya Magharibi wameonyesha kutofurahishwa na matokeo hayo. Huku vyombo vya habari vya mataifa hayo vikieneza propaganda na habari za uongo.

Lakini pia bilionea Elon Musk amekuwa mstari wa mbele kupitia tweets kwenye akaunti yake ya X akimkosoa vikali Maduro kuwa ni dictator na ameiba kura.
View attachment 3057263

Hizi ni baadhi ya tweets za Elon Musk dhidi ya Maduro.


Elon Musk amefikia hatua ya kutaka kutokee mapinduzi ya kijeshi ili Maduro apinduliwe!

Swali ni kwa nini Elon Musk amekuwa akipigania hilo?

Je, ni kwa sababu ya utajiri wa madini, mafuta na gas ulio katika nchi hiyo?


View attachment 3057250
Hazina ya utajiri wa madini, mafuta na gas wa taifa la Venezuela unakadiriwa kuwa ni $14 trillion.


Wakati wa utawala wa Hugo Chávez mwaka 2009 iligunduliwa utajiri wa madini ya coltan. Madini hayo pamoja na lithium yanatumika kwenye kutengeneza bidhaa nyingi za high tech kama vile:
  • Electric car batteries (EV batteries)​
  • Rockets​
  • Jet engines​
  • Electronic devices (computer, mobilephones etc)
Je, Elon Musk anataka mapinduzi hayo yatokee ili ashirikiane na taifa lake dhalimu Marekani kuiba madini ya coltan na lithium kwa ajili ya uwekezaji aliofanya kwenye EVs na SpaceX? We never know!



Inajulikana kuwa Elon Musk ni Pro-Israel mkubwa sana na ni rafiki wa karibu wa Netanyahu.

Na hivi karibuni wakati wa uchaguzi kauli za Maduro na moja ya mwanachama machachari mpinzani María Machado zilionyesha tofauti zao za kisera kati ya chama tawala na chama kikuu cha upinzani inapohusu Palestina na Israel.

"Long live free Palestine!"
Nicolás Maduro
"Our struggle is Israel's struggle"
María Machado

Je, huenda hii ni sababu nyingine inayofanya Elon awe na vita kali dhidi ya Maduro?


Ikumbukwe kuwa Marekani kwa kutumia CIA imeshagharamia majaribio kadhaa ya kimapinduzi nchini Venezuela lakini ikashindwa kwa aibu.

Hii ni historia fupi ya mapinduzi ya kijeshi yaliyowahi kufanywa Latin America kukiwa na mkono wa Marekani:


View attachment 3057264
  • Brazili: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1964 yaliyompindua Rais João Goulart na kuweka udikteta wa kijeshi wa mrengo wa kulia.​
  • Bolivia: CIA ilihusika katika mapinduzi mwaka 1971 ambayo yalimuondoa madarakani Rais Juan José Torres.​
  • Chile: CIA ilishiriki katika mapinduzi ya 1973 yaliyompindua Rais Salvador Allende.​
  • Argentina: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1976 ambayo yaliondoa serikali iliyochaguliwa kidemokrasia na kuanzisha udikteta wa kikatili wa kijeshi.​
  • Ecuador: CIA ilifanya operesheni za siri nchini humo kati ya 1960 na 1963.​
  • Panama: CIA iliunga mkono uvamizi wa 1989 ambao ulimpindua Jenerali Manuel Noriega.​
  • Haiti: CIA iliunga mkono mapinduzi ya 1991 yaliyompindua Rais Jean-Bertrand Aristide.​
  • Venezuela: CIA ilihusika katika jaribio la mapinduzi ya 2002 dhidi ya Rais Hugo Chávez.​
Wavenezuela wenyewe ndio wana haki ya kuamua nani awe kiongozi wao na wala sio mataifa ya Magharibi.
Like Mr. Musk, I think that the old, mediocre generation needs to be replaced, but I have included some East African nations in my list that also require political change.
 
Like Mr. Musk, I think that the old, mediocre generation needs to be replaced, but I have included some East African nations in my list that also require political change.
Do you support colour revolution attempts organized and run by USA in Venezuela?
 
Absolutely.

Even if they planned a comparable event in my country, I would fully support them.
Is it right for the US to intervene internal affairs in other sovereign states and society and decide who should be their leaders?
 
Is it right for the US to intervene internal affairs in other sovereign states and society and decide who should be their leaders?
With no shadow of doubt it is more than right, If we have leaders who misbehave and cannot be held accountable by their citizens, it is very very prudent for powerful nations like the US to intervene and bring back order.
Is it right for the US to intervene internal affairs in other sovereign states and society and decide who should be their leaders?
 
Back
Top Bottom