Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Ila akili zetu tunazijua wenyeweSasa kumiliki mali zote hizo za nini hamna tija yoyote hawataishi milele watakufa na kuacha. Ni watu waovu na wachoyo wamejipatia hizo Mali kwa umwagaji damu na unyanyasaji tangu kipindi cha utumwa ukoloni hadi leo wanaendelea tu kwa ukoloni mambo leo kwa kuiba rasilimsli nakuleta vita kama Congo na CAR na kusababisha vifo vya wengi.
Oyaa ondoa hizo middle fingers kwenye avatar picha yako kabla sijakuwasha makofi.Ila akili zetu tunazijua wenyewe
😂Oyaa ondoa hizo middle fingers kwenye avatar picha yako kabla sijakusahau makofi.
Haya kammon ondoa sasa hivi.
AMRI
SpaceX na Starlink hayajaenda Public?! Huko "Public" ni wapi?Ni jambo la muda tu.
Kumbuka Elon ana makapuni kibao ambayo hayajaenda Public kama Space X, Starlink, Boring nk. Hayo yakienda Public Elon mpunga utamuua yule mbwa.
Uongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Elon na matajiri wenzake wote ni mapambo tu, matajiri wa kweli wapo nyuma ya paazia na hawawezi kujitokeza kwani utajiri wao unatisha.
Ina maana starlink na Space x hayapo kwenye NYSE ??Ni jambo la muda tu.
Kumbuka Elon ana makapuni kibao ambayo hayajaenda Public kama Space X, Starlink, Boring nk. Hayo yakienda Public Elon mpunga utamuua yule mbwa.
Wakina nani hao? Story za kijiweni hiziSahihi kabisa mkuu, wanamiliki kila kitu, central banks zote duniani zipo chini yao. Hata zile IMF na WB zote ni zao
SawaUongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata hivyo wakati huu nipo kijiweni napiga story hizo hizoWakina nani hao? Story za kijiweni hizi
Hata Elon miaka kadhaa mbele familia yake itakuwa moja ya familia tajiri zaidi Duniani.Ni kweli hizo ni familia, lakini kuna viongozi wa familia na wasimamizi wa mali zote. Na chimbuko la hizo mali limetokea kwa juhudi binafsi za waanzilishi wa hizo familia. Hao ndiyo matajiri wa kweli haijalishi ni familia au ukoo
Hata baada ya miaka 1000, bado hawezi fikia hata robo ya utajiri wa Rothschild's pekeeHata Elon miaka kadhaa mbele familia yake itakuwa moja ya familia tajiri zaidi Duniani.
Public maana yake ni kua yanauza hisa zake kwa umma ndio watu wa fedha wanasema kampuni haiuzi hisa zake kwa umma ama not listed in the public stock market.SpaceX na Starlink hayajaenda Public?! Huko "Public" ni wapi?
Otherwise unamaanisha hayo makampuni uliyoyataja ndio yanayofahamika na public na kuna mengine yasiyofahamika.
SpaceX, Starlink na Boring Company yote hayako listed popote kwenye Public Stock Exchange market.Ina maana starlink na Space x hayapo kwenye NYSE ??
Nimekupata.Public maana yake ni kua yanauza hisa zake kwa umma ndio watu wa fedha wanasema kampuni haiuzi hisa zake kwa umma ama not listed in the public stock market.
Mfano, Kampuni ya Bakhressa ni kampuni binafsi ukienda Dar ea Salaam Stock Exchange huwezi kuikuta.
Mfano Tesla ni public maana watu wanamiliki hisa za Tesla.
Kwani huyo Bernard huo ni Utajiri wake si wa Family yeye ni msimamizi kama alivyo Mo DewjHizo umetaja ni familia yani ukoo mzima mfano hao rothschild.
Hapa wanaongelea utajiri wa mtu mmoja mmoja.
Ukija list ya familia au koo tajiri ndo hao umetaja hapo