Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mmiliki wa X, ambayo awali ilijulikana kama twitter, ametangaza kuwasaidia watumishi waliotendewa vibaya kazini kwa kushiriki kwao mijadala katika mtandao huo.
Elon, amewataka watumiaji wa mtandao wake wamwambie mistreatment kutoka kwa waajiri wao walizozipata baada ya ku-like au kupost kitu.
Baadhi ya comments zimeonesha baadhi ya watu waliochishwa kazi kutokana na posts zao.
Hapa nadhani kwa Tanzania, Khalifa Said inabidi awe wa kwanza kupewa hela za kufungua kesi.
Elon, amewataka watumiaji wa mtandao wake wamwambie mistreatment kutoka kwa waajiri wao walizozipata baada ya ku-like au kupost kitu.
Baadhi ya comments zimeonesha baadhi ya watu waliochishwa kazi kutokana na posts zao.
Hapa nadhani kwa Tanzania, Khalifa Said inabidi awe wa kwanza kupewa hela za kufungua kesi.