Tajiri namba moja Duniani kwa paper assets,mmarekani na mzaliwa wa South Africa bwana Elon Musk ameelezea matamanio yake ya kuinunua kampuni kongwe ya kutengeneza vinywaji baridi ya coca cola
Elon ameonesha matamanio yake ya kuimiliki kampuni hiyo kubwa kupitia tweet ambayo inaonekana kama vile ni utani,kaahidi kuinunua kampuni hiyo na kurudisha cocaine kwenye kinywaji cha coca cola
Elon ameonesha matamanio yake ya kuimiliki kampuni hiyo kubwa kupitia tweet ambayo inaonekana kama vile ni utani,kaahidi kuinunua kampuni hiyo na kurudisha cocaine kwenye kinywaji cha coca cola