Elon Musk atuhumiwa kuivunja USAID kutokana na uchunguzi wake kwa Starlink kukiuka vikwazo dhidi ya Urusi

Elon Musk atuhumiwa kuivunja USAID kutokana na uchunguzi wake kwa Starlink kukiuka vikwazo dhidi ya Urusi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kumbe USAID mwaka jana September ilifungua uchunguzi dhidi ya kampuni ya Elon ya Starlink kuhusu kuruhusu jeshi la Urusi kutumia Starlink katika vita vyake vya uvamizi Ukraine!

Mojawapo ya vikwazo ambavyo Serikali ya Marekani iliweka kwa Urusi baada ya uvamizi ni pamoja na Starlink kutoruhusiwa kutoa huduma kwa Urusi.
20250210_131444.jpg

20250210_131346.jpg

20250210_131514.jpg
 
Wamegoma kuacha maelfu ya ekari za mashamba kwenda kuwa wabeba box US.
Sasa huu mpango wa kuwanyang'anya Ardhi bila fidia ni hatari sana kwa property zao?!

Kama ni mimi Farmer naliweka shamba langu sokoni naliuza halafu nachukua fedha zangu naenda kununua shamba lingine South America.
 
Haya ni madai ambayo hayana kichwa wala miguu yanayoibuliwa na ma leftists akina Letitia James, yaani USAID ndio iwe na jukumu la kuichunguza na kuishtaki starlinks serious?

Naona mafisadi waliokuwa wanufaika wakubwa wa hiyo criminal organisation wanatapa tapa tu..!!
 
USAID, under the control of the Democratic left, has been pushing LGBTQ, transgender, and other godless agendas to the world in the name of the United States of America. We the taxpayers have been paying for this to the tune of billions of dollars. Thank you Elon Musk for exposing this—and now President Donald J. Trump is bringing it to an end. I encourage the State Department to continue providing life-saving aid like food and medicine.

Franklin Graham
 
Sasa huu mpango wa kuwanyang'anya Ardhi bila fidia ni hatari sana kwa property zao?!

Kama ni mimi Farmer naliweka shamba langu sokoni naliuza halafu nachukua fedha zangu naenda kununua shamba lingine South America.
na wao walitwaa bure kwa previous owners
 
Ya kwamba Urusi itegemee satellite za musk wakati wao wana rundo la satellite 🛰 angani?
 
USAID, under the control of the Democratic left, has been pushing LGBTQ, transgender, and other godless agendas to the world in the name of the United States of America. We the taxpayers have been paying for this to the tune of billions of dollars. Thank you Elon Musk for exposing this—and now President Donald J. Trump is bringing it to an end. I encourage the State Department to continue providing life-saving aid like food and medicine.

Franklin Graham
Franklin Graham ni tapeli tu kama wakina Mwamposa na Geor Davie
 
Africans by Africans si Mbaya, later on wana share, lakini si hao makaburu
Uvamizi ni uvamizi, tu Ukaburu ulikiwa ni mfumo wa Siasa na Ukaburu sio Rangi ya ngozi unaweza kuwa Mbantu na na ukawa Kaburu.
 
Ya kwamba Urusi itegemee satellite za musk wakati wao wana rundo la satellite 🛰 angani?
Kwa hiyo wewe unafikiri ukiwa na rundo la setellites unaweza kuzitumia vyovyote tu kwa kila kitu na kila wakati?!
 
Sasa huu mpango wa kuwanyang'anya Ardhi bila fidia ni hatari sana kwa property zao?!

Kama ni mimi Farmer naliweka shamba langu sokoni naliuza halafu nachukua fedha zangu naenda kununua shamba lingine South America.
Hakuna mweusi wa kununua shamba la mzungu afrika kusini,
Mashamba ya zabibu kule cape town sio investments za pesa ndogo
 
Back
Top Bottom