Elon Musk atuhumiwa kuivunja USAID kutokana na uchunguzi wake kwa Starlink kukiuka vikwazo dhidi ya Urusi

Elon Musk atuhumiwa kuivunja USAID kutokana na uchunguzi wake kwa Starlink kukiuka vikwazo dhidi ya Urusi

Kumbe Franklin Graham ni Evel to the CORE😇
20250210_164757.jpg

20250210_164745.jpg
 
Hakuna mweusi wa kununua shamba la mzungu afrika kusini,
Mashamba ya zabibu kule cape town sio investments za pesa ndogo

naomba kuuliza na unijibu bila ya bias na upuuzi(ignoring other historical facts)

Wazungu waliwahigi kununua mashamba Africa ya Kusini?
 
Kichaa kapewa rungu. Kila kitu anataka kukipasua
 
naomba kuuliza na unijibu bila ya bias na upuuzi(ignoring other historical facts)

Wazungu waliwahigi kununua mashamba Africa ya Kusini?
kulijibu swali lako bila kuhusisha historical fact haiwezekani, wazungu wa afrika kusini by default ni wazawa wa hapo.
Nimekutolea mfano wa mashamba ya zabibu maana niliishi huko kipindi fulan, kuna mashamba yapo toka mwaka 1660
 
naomba kuuliza na unijibu bila ya bias na upuuzi(ignoring other historical facts)

Wazungu waliwahigi kununua mashamba Africa ya Kusini?
But waneyaendesha kibiashara zaidi
naomba kuuliza na unijibu bila ya bias na upuuzi(ignoring other historical facts)

Wazungu waliwahigi kununua mashamba Africa ya Kusini?
Mugabe aliwapokonya ardhi kwa mantiki hiyo, Zimbabwe never recoverd economically mpaka Leo hii, wazawa waliopewa hawakuweza kuyaendeleza tena to the past glory ya kibeberu
 
kulijibu swali lako bila kuhusisha historical fact haiwezekani,

wazungu wa afrika kusini by default ni wazawa wa hapo.

Nimekutolea mfano wa mashamba ya zabibu maana niliishi huko kipindi fulan, kuna mashamba yapo toka mwaka 1660
Mkulu, kwa hiyo unasema prior na hapo 1660 tusizingatie? how wakati tunatizama na historical context and facts?

Unasema uliishi huko wakakueleza Waafrika ni wahamiaji huko? Nani hao kama sio wazungu unaowatetea, how are you not biased?
 
But waneyaendekeza kibiashara zaidi
Wanayaendeleza kumfaidisha nani? Puleeese
Mugabe aliwapokonya ardhi kwa mantiki hiyo, Zimbabwe never recoverd economically mpaka Leo hii, wazawa waliopewa hawakuweza kuyaendeleza tena to the past glory ya kibeberu
🥸 kwa akili yako unafikiri kusingekuwepo na mfumo wa hela magharibi nn kingetokea?

Think for a second, mathalan duniani tungekuwa tunatumia rubo ya rassia? Zimbabwe would have never recovered? Hata hilo kuhusu uchumi wake kuporomoka tu ni propaganda za magharibi.

Acha kabisa
 
Wanayaendeleza kumfaidisha nani? Puleeese

🥸 kwa akili yako unafikiri kusingekuwepo na mfumo wa hela magharibi nn kingetokea?

Think for a second, mathalan duniani tungekuwa tunatumia rubo ya rassia? Zimbabwe would have never recovered? Hata hilo kuhusu uchumi wake kuporomoka tu ni propaganda za magharibi.

Acha kabisa
Bro matatizo ya wa afrika ni yetu wenyewe na inabidi tuyatatue wenyewe. naona unalaumu western countries.
Mugabe alilpora mashamba ya wazungu kwa kutumia mindset kama yako kwamba wazawa wafaidike, hakufanikiwa kwa sababu wazawa wenyewe hawakuwa kwenye level ya zile investments
 
Mkulu, kwa hiyo unasema prior na hapo 1660 tusizingatie? how wakati tunatizama na historical context and facts?

Unasema uliishi huko wakakueleza Waafrika ni wahamiaji huko? Nani hao kama sio wazungu unaowatetea, how are you not biased?
1660 hadi leo kuna miongo karibu minne, watun
wapo huko wanafanya industrial grape farming, huyo xhosa, mzulu yupo tu anawaangalia, kwa nini na yeye asilime?
South Africa inaitwa rainbow country kwa sababu kwa miaka waliyokuwepo wazungu huwezi tena ukaleta uzawa,
 
Back
Top Bottom