begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Nani kailaani afrika mbona inakila Aina ya Mali za thamani duniani ardhi,mito,mabwawa,mbuga,mafuta,n.k,,, wafrika ndo wapumbafu
Africa Ina laaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Africa Ina laaana
Huyo daimond hawezi kuja mfikia hata gsm au shabiby hadi anakufaYani Daimond ampiku Elon Musk kwa Utajiri Inabidi kwanza Aambiwe Chanzo cha Utajiri wa Elon a anapataje hela Sio Anakurupuka tuu Kuongea
Sio kupiga mbizi safari ya umasikini kwa Bakhresa inaanzia hapoAssume ni Bakhresa kwenye mkutano wa chadema hapo utasikia baada ya week TRA wanadai alikuwa anakwepa kodi. Utasikia Azam TV yapigwa fine kwa kukiuka sijui kitu na safari ya kupiga mbizi inaanzia hapo rasmi.
Fikra za kijamaa za kijinga Sana kwa sasaHuyu jamaa ni threat sana kwa nchi, ni bora walivomkatalia starlink hapa TZ
Anaamini yeye ni Genius kuliko yoyote hapa duniani
Mwisho: huwezi kushindana na serikali
Wakati yupo SA Marekani ilishakua na mifumo, huwezi kuisaliti mifumi
Inawezekana ndoto haina mipakaYani Daimond ampiku Elon Musk kwa Utajiri Inabidi kwanza Aambiwe Chanzo cha Utajiri wa Elon a anapataje hela Sio Anakurupuka tuu Kuongea
Ndoto Haina mipaka Kweli Aendelee kuotaInawezekana ndoto haina mipaka
sawa sawa hata hapo alipofika angesikiliza maneno ya watu kama wewe pengine angekuwa kibaba kwa kujikatia tamaaNdoto Haina mipaka Kweli Aendelee kuota
Elon akunyonye una nini?Wafanya biashara wanaungana kusaidiana ili wazidi kuimiliki Dunia kiulahisi.
Kwahivo huenda si kwamba Bwana huyo a ampersand sana Trump bali ni harakati za kuendelea kuinyonya dunia.
Sawa Ila Sio Kwa kuwa Namba Moja Duniani hivi unajua Dunia Kweli Ndugu yangusawa sawa hata hapo alipofika angesikiliza maneno ya watu kama wewe pengine angekuwa kibaba kwa kujikatia tamaa
Najua hata Elon Musk ni mzaliwa wa South Africa , wacha watu watimize ndotoSawa Ila Sio Kwa kuwa Namba Moja Duniani hivi unajua Dunia Kweli Ndugu yangu
😂😂😂Ndo diamond anataka ampiku huyo jamaa kwa utajiri dunian? Piddy mwenyewe kamshindwa diamond atamuweza kweli haya sie yetu macho