Elon Musk awa kivutio kwenye kampeni za Trump, aonekana akishangilia jukwaani

Elon Musk awa kivutio kwenye kampeni za Trump, aonekana akishangilia jukwaani

Trump akishindwa naye atapotea kwenye utajili , ila akishinda ni target nzuri
 
Huyu jamaa ni threat sana kwa nchi, ni bora walivomkatalia starlink hapa TZ

Anaamini yeye ni Genius kuliko yoyote hapa duniani

Mwisho: huwezi kushindana na serikali

Wakati yupo SA Marekani ilishakua na mifumo, huwezi kuisaliti mifumi
Fikra za kijamaa za kijinga Sana kwa sasa
 
Wafanya biashara wanaungana kusaidiana ili wazidi kuimiliki Dunia kiulahisi.


Kwahivo huenda si kwamba Bwana huyo a ampersand sana Trump bali ni harakati za kuendelea kuinyonya dunia.
 
Afrika ni mashetani weusi
Watanzania ni roho kutu hawaukubali ukweli.
Tuliwahi kuwa na Lucifer, shetani, mnafiki na muuaji kwa wasiomuunga mkono.

Ukikasirika itandike avatar yangu hadi hasira zako ziishe
 
Wafanya biashara wanaungana kusaidiana ili wazidi kuimiliki Dunia kiulahisi.


Kwahivo huenda si kwamba Bwana huyo a ampersand sana Trump bali ni harakati za kuendelea kuinyonya dunia.
Elon akunyonye una nini?
Au ka bando chako cha 10k unahisi utaibiwa
 
Nchi yako Yenyewe maskini Familia yako maskini Umezungukwa na Watu Maskini alafu Wewe unataka Kuwa Tajiri namba Moja Duniani mwambieni Aendelee Kuwaburuza Wajinga wenzie huko Polini
 
Ukiwa na utajiri wa janja janja lazima uufyate
Jiulize ,mtu kama Musukuma(Mb Geita) anayejisifu kuwa ni mfanyabiashara anaweza fanya biashara huku anaipondea CCM?
 
Back
Top Bottom